Dada yangu kapendeza leo baada ya kurudi salon!

Warren T

JF-Expert Member
Dec 5, 2014
664
409
604cfc3bfd1f9997175e73272b4a9a55.jpg
 
Haaaa kweli kapendeza!, lakini sijaelewa huo msuko ni wa upande upi kati ya Shetani na Mungu?. Dada zetu hatari sana!, hata mavi yangekuwa yanatoa harufu nzuri nadhani wangekuwa radhi kupaka kichwani. Ha ha haaaaa!, uko wapi my wf to be? ha ha haaaa!
 
Mmhh sasa hivyo alivyosuka wakati wa Showtime's anakaaje ili asiharibu nywele..maana wenginde ata akikaa ule mkao pendwa wa yule mnyama kagoma lazima washikilie hizo nywele kama kamba za farasi ili kuongeza speed
 
Back
Top Bottom