Unaweza jiuliza kwenye 'lane' iyo alifata nini ila unaweza kosa majibu ya haraka.
duuuh sku hiz uterus inakata mauno?Aiseee! Tumbo la uzazi limenicheza😔
Bodaboda walishafanya watu wengi kuwa sugu kuwasikitia! Mmi sidhani kama wana akili za kawaida. Pengine wachina wameweka mitambo kwenye hizo pikipiki ya kuwafanya wapate wehu!Aiseee! Tumbo la uzazi limenicheza😔
Aiseee! Tumbo la uzazi limenicheza😔
Hii picha ni kama ime-setiwa kinamna, yaani ni kama tukio la kuigiza. Sijui lakini, pengine nimekosea.Hapo kabebwa na nini
Mpaka motoWataisha sana wazee wa Nduthi
Usiseme hivyo!🥺 hakuna anayeombea kifoAmestahili. Akapumzike.
Yaan hadi mi nimejiuliza maana hyo sehemu ni ndogoAlivyotumbukia unaweza ukadhani amewekwa hapo