NIMEKIMBIA CCM
Senior Member
- Oct 4, 2011
- 193
- 26
Jamani wana jf,sina lengo la kuisema vibaya nch yangu ila hata nsposema nch yenyewe inajsema.,hv jaman hatuoni jinsi shiling ye2 inavoporomoka?yan 1dol inacheza 1700 na zaid!
Tatizo hivi ltakuwa wap? Je n viongoz? Au n cc wenyewe raia,. Mimi binafsi naona ni viongoz ambao wanatumia vibaya madaraka kuimport vitu hovyo. Jamani hadi ferniture wanaagza nje? (tena nahc vnapata msamaha wa kodi) kwel jamani hi Tanzania ni mkosi mtupu, na viongoz wakubwa wanaangalia 2 na kupuuza hasa mkuu wa kaya hv haon haya?
NA CC WANANCH KWANINI TUSHOBOKEE BIDHAA ZA nje wakat tunazo za kwe2 jamani watanzania na viongozi mi nafikiri suala la uchumi lmewashinda kilchobak sisi wenyewe tuwe wazalendo kununua mali za humu nchn.
ILA KINACHONCHANGAZA UPANDE WA MADINI, WANYAMA, aah hapo wanajitahd kuexport ingawa ha2onfaida yake,,, je ili kukuza uchumi wewe mwana great thinker unasemaje?
KARIBUNI KWA MICHANGO na MUNGU AWABARIKI
Tatizo hivi ltakuwa wap? Je n viongoz? Au n cc wenyewe raia,. Mimi binafsi naona ni viongoz ambao wanatumia vibaya madaraka kuimport vitu hovyo. Jamani hadi ferniture wanaagza nje? (tena nahc vnapata msamaha wa kodi) kwel jamani hi Tanzania ni mkosi mtupu, na viongoz wakubwa wanaangalia 2 na kupuuza hasa mkuu wa kaya hv haon haya?
NA CC WANANCH KWANINI TUSHOBOKEE BIDHAA ZA nje wakat tunazo za kwe2 jamani watanzania na viongozi mi nafikiri suala la uchumi lmewashinda kilchobak sisi wenyewe tuwe wazalendo kununua mali za humu nchn.
ILA KINACHONCHANGAZA UPANDE WA MADINI, WANYAMA, aah hapo wanajitahd kuexport ingawa ha2onfaida yake,,, je ili kukuza uchumi wewe mwana great thinker unasemaje?
KARIBUNI KWA MICHANGO na MUNGU AWABARIKI