Mkoroshokigoli
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 14,594
- 5,568
Sikumbuk hata kadi ya NBC niliitupa wapi,maana sina pesa za kuweka bank,huyo mama Tibaijuker bil 1.6 hazikuzid 48 hrs kwenye akaunt ya shule yake
iv kumbe bado unaweka pesa benki? Outdated fashion
I think board ya NBC ni weak. Management yao ni mbovu sana.6
Sikumbuk hata kadi ya NBC niliitupa wapi,maana sina pesa za kuweka bank,huyo mama Tibaijuker bil 1.6 hazikuzid 48 hrs kwenye akaunt ya shule yake
Nbc mko wapi kutueleza ukweli wateja wenu tuwe na amani .......
Sikumbuk hata kadi ya NBC niliitupa wapi,maana sina pesa za kuweka bank,huyo mama Tibaijuker bil 1.6 hazikuzid 48 hrs kwenye akaunt ya shule yake
heee bado hujazikomba tu...?!!
ATI ANASUBILI UKWELI. SIJUI HANA KIBUBU UYU?? kalaghabao
Mie nemepata sms hii kutoka NBC: Ndugu mteja, NBC inapenda kukuhakikishia kuwa amana zako ziko salama. Endelea kutumia huduma zetu kama kawaida. Usitoe namba yako ya siri kwa yoyote.