Wana JF Sisi walimu tunapata shida sana mpaka leo mshahara hakuna. Kweli Serikali ya Tz ipo kweli mbona Wabunge mishahara yao na posho zao ni hapo hapo kweli tutafika. Kwa nini Walimu tusitoroke na Kufanya TUITION au kukaa ofisini bila kufundisha.
BADO SIKU CHACHE TU
BADO SIKU CHACHE TU