Inaelekea hulitakii mema hili taifa, Kwa matokeo yaliyopita ya darasa la saba, wanafunzi zaidi ya 5000 waliingia sekondari wakiwa hawajui kusoma wala kuandika, matokeo ya kidato cha nne asilimia tisa(9%) tu ndio walifaulu kwa kiwango cha daraja la kwanza hadi la tatu, asilimia tisini na moja (91%) walifaulu kwa daraja la nne na sifuri. Tutarajie nini huko tuendako kama tutaendelea kuwadhalilisha waalimu? vyuo vikuu tulivyojenga vitakua vinadahili wanafunzi kutoka nje ya nchi. hii nayo ni nzuri kwani itaipunguzia serikali usumbufu wa wanafunzi wanaodai ongezeko la fedha za mikopo ya elimu ya juu.CWT Sasa sijui mlijiandaa kwa lolote litakalotokea Au ndo alimradi upepomuvume. Ilipeni Serikali sasa
Mbona madaktari hawakuambiwa wailipe serikali??!! Hivi kuna uwezekano wa kuishtaki hii serikali kwenye umoja wa mataira??!!
.....matokeo ya kidato cha nne asilimia tisa (9%) tu ndio walifaulu kwa kiwango cha daraja la kwanza hadi la tatu, asilimia tisini na moja (91%) walifaulu kwa daraja la nne na sifuri...
Nina uhakika sana yaani sio exactly ila ni hivi daraja la kwanza hadi la tatu 9.?% daraja la nne na sifuri ni 90.?% kwa hiyo ukikaribisha kimahesabu ndiyo inakuja vile, kama huamini rejea kwenye tovuti ya MOE utafute matokeo halafu unipe majibu, huwa napenda sana watu wanaofanya utafiti ili kupata factMmmmh, hii kitu ni kweli mkuu??
CWT Sasa sijui mlijiandaa kwa lolote litakalotokea Au ndo alimradi upepomuvume. Ilipeni Serikali sasa