CV's za mawaziri wapya: Eng. Omar R. Nundu

Huyu ni Mbunge wa Tanag mjini, nadhani hii CV yake niyazamani kidogo, imeacha kutaja experience alipo kuwa Canada kikazi, tumpe pongezi Raisi kuona hizi talent.

Mheshimiwa waziri cv tumeiona na tumekubali, tunasubiri uchapakaji kazi wako ndio tuku jaji, kazi njema Mkuu
Ndiyo utajua kuwa CV haina maana kwa Waafrika na Watanzania. Nundu ana CV kali sana lakini sasa haya madudu yake yamevuka mipaka. YANANUKA

 
kwa hiyo?sisi hatutaki mavyeti tunataka kuona matendo bwana, toka amekuja toka canada mbona ATC na Twiga wetu hajamrudisha sawa angani na cv yake iko kwenye fani hiyo ua naibu wake anamzunguka ili aweke kale kamyama paa ambako kanaruka ss
 
tunataka km ni mzalendo kweli km alivyosema amerudi ili kulitendea haki taifa lake lililomsomesha na ana uchungu kweli km mwanamke anataka kajifungua mtoto kwa cv zake tu amrudishe Twiga wetu angani anaelitangaza taifa letu.
 
Chenge went to Harvard-arguably baba ya varsities zoooooote duniani
Kigoda went to Vanderbilt
Mkapa went to Columbia
Nkullo went to UCLA
...lakini angalia porojo na madudu yao.....For African politicians hata wawe Ivy League-educated elimu yao haiwasaidii sababu ya kuendekeza njaa kwanza.
Kumbuka kuna usemi "Artificial intelligence is no match to natural stupidity"
There are a lot of fools nowadays hiding behind the impeccable credentials obtained from the institutions with big names.

So huyo bwana mkubwa Nundu, sina maneno nasubiri utendaji wake wa kazi then tutaona.
Ahsante



uuuuuphf!!! du! Mbona shuhuli!?
 
watu wa kanda hawawez uongozi hata cku moja...hawako serious, hawajiamini, mifano m-senge jakaya, nundu,makamba, nundu, billal...ukisoma cv ya bilal au nundu unaweza shangaa , wanafaa kukaa vjwen na kunywa kahawa,...
 
Hapa bongo hizi cv si mali kitu . Nchi hii inaweza kuongozwa na yeyote ilimradi kapewa shavu na magamba. Hivi prof. Maji marefu, japeople, modestus kilufi, na wengineo wengi unaowajua wana cv gani? Utendaji wao una mahusiano gani elimu.mfano maprofesa kama maghembe wanjipambanuaje NA nafasi zao hao AMBAAO HAWANA CV kubwa. Wote swagaswaga ndani ya boti ya ccm. Ukiingia ccm unakuwa zezeta ngafla kama msukule.just try to imagine.I AJABU UKUTE MAJI MAREFU KAZI SIYO UBUNGE BALI KUROGA WABUNGE WAWE MAZEZETA. MAJI MAREFU ANAKAZI MAALUMU SPECIAL SQUAD KAMATI YA UFUNDI
 
Huyu ni Mbunge wa Tanag mjini, nadhani hii CV yake niyazamani kidogo, imeacha kutaja experience alipo kuwa Canada kikazi, tumpe pongezi Raisi kuona hizi talent.

Mheshimiwa waziri cv tumeiona na tumekubali, tunasubiri uchapakaji kazi wako ndio tuku jaji, kazi njema Mkuu

CV nzuri lakini alitaka kuiingiza nchi kwenye mkataba mbovu wa kuweka rehani gati 13 & 14 za bandari kwa mika 45. Alitaka kufanya hivyo akijua kuwa baada ya miaka hiyo yeye atakuwa hayuko duniani.

He has to go anyway.
 
NAME: Omari Rashid NUNDU

DATE OF BIRTH: 6th. August, 1948

NATIONALITY: Tanzanian

MARITAL STATUS: Married with four adult children
.





UNIVERSITY EDUCATION AND ACADEMIC INTEREST

· BSc (Hons) in Aeronautical Engineering - Glasgow University (1971-75)
Final year Honours majors included:
1. Mathematics 1V,
2. Aerospace Dynamics 1V,
3. Fluid Mechanics 1V,
4. Aerospace Structures 1V and
5. Gas Dynamics and Thermodynamic Machines 1V.
Final Year Honours Dissertation: “Turbulent Airflows Around Buildings"

· MSc in Air Transport Engineering - Cranfield University (1978/79)

Thesis: " The Measurement and Control of Airliner Fleet Dispatch Availability"

· Current Research work: “Optimisation of Air Traffic Flows under Free Flight Concept in All Phases of Flight”



2.0 WORKING EXPERIENCE

· 2008: President of the Air Navigation Commission

  • 2007: First Vice President of the Air Navigation Commission.

· 2006 – to date: Member of the Air Navigation Commission.

· 2004 – 2005: Observer on the Air Navigation Commission

· November 2003 – to date: Permanent Representative of the United Republic of Tanzania to ICAO

· November 2002 – to date: Director of International Affairs, Tanzania Civil Aviation Authority.

  • April 1992 - October 2002: Head of Civil Aviation Sector, Southern African Development Community (SADC).

· May 1989 to 31 March 1992: Senior Management Consultant responsible for the aviation programme, Eastern and Southern African Management Institute (ESAMI).

· 1982 – May 1989: Director/Co-ordinator of Special Projects and Project Manager of Kilimanjaro Aircraft Maintenance Facilities (KIMAFA)

· 1977 – 1982: Superintendent Technical Planning and Services, Air Tanzania Corporation.

· 1975 – 1977: Aircraft Maintenance Engineer and Planning & Development Engineer, East African Airways Corporation

· October 1975: Assistant Executive Engineer (aircraft), Ministry of Transport and Communications, Tanzania..


LEADERSHIP ROLES


· Chairman of Tanzania Education Support Association (April 2008 – to date)
· President of Montreal Tanzanians Association (May 2007 – to date)
· President of the ICAO Air Navigation Commission (January 2008 – to date)
· Vice President of ICAO Air Navigation Commission (2007)
· Coordinator of Ad-hoc Working Groups of the Air Navigation Commission (2007)
· Vice Chairman of Finance Committee of the ICAO Council (2005)
· Member of Senior Management Team at Air Tanzania Corporation(1977-1989), ESAMI (1990 - 1991) and Southern Africa Transport and Communication – Technical Unit (1992 – 2002)
· Member of Academic Board of ESAMI (1991)
· Chief Executive Officer of KIMAFA (1982 – 1989)
· Chairman of Tanzanian Students Association, Glasgow Branch (1974)
· Head Prefect in each of the three schools he attended – Mwakidila Primary School(1960), Marten's Shamba Middle School (1964) and Karimjee Secondary School (1969/70).



Nawakilisha jamani, kwani usilolijuwa ni kama usiku wa giza.
Miongoni mwa watu muhimu na nyeti ambao mamlaka zingemtumia vizuri angeweza kufufua shirika letu la ndege na kurudi katika hali yake ya kufanya kazi kwa ufanisi na faida nzuri.

Mkuu omar nundu nakukubali Sana.
 
Back
Top Bottom