CV ya Hilary Ngonyani(Profesor Maji Marefu), Mbunge wa Korogwe Vijijini

Du halafu sheria zote bungeni zinaandikwa kwa kingereza lazima apige makofi ya kuunga mkono bila kujua kinachosemwa ni nini
 
Huyu ni mhitimu wa ngumbalu (elimu ya watu wazima ya kusoma na kuandika): - azaliwe 1956, aanze shule ya msingi 1970??!!! Anastahiki kuitwa profesa

Yaani umri wangu wakati naingia darasa la nane yeye ndio alikua anaingia darasa la kwanza. Yaani sisi WATZ sio kurogwa ila tulishajiripua agggggggggggggggggggggggggghhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh
 
hakuna jipya - just a typical cv ya a tz parliamentarian. ila kuna omission ya experience ya kazi yake iliyompa uprofessor!
 
Hotuba ya maprofs na mangonyani bungeni zafanana tu bila-bila. wasomi wetu ndo wanaotwibia hebu tuwajaribu tena akina Mangungo
 
Huyu ni Professor wa elimu ya jadi,Kwani kuna tofauti ya Korogwe na majimbo ya maprofesa wa Research za ku kopy na ku paste? stella manyanya nae ana elimu ya ngumbaro nyie ndo mnaamin mtu akijua kusoma na kuandika anakuwa kafuta ujinga, Mnajifanya kuponda taaluma ya Majimarefu kumbe nyie ndo Potential customers wake.kwan tangu uhuru nchi hii ipo makalioni mwa nchi maskin kwa sababu ya waganga wa kienyeji? Huduma za Hospital hazina uwezo wa kuwafikia wa Tz angalau kwa 10% hizo asilimia zilizobaki zinahudumiwa na nani?
 
Huyu ni mhitimu wa ngumbalu (elimu ya watu wazima ya kusoma na kuandika): - azaliwe 1956, aanze shule ya msingi 1970??!!! Anastahiki kuitwa profesa
Hivi zamani kulikuwa na MEMKWA???
Au elimu ya watu wazima!!
 
ingekuwa mtu anaweza kujiroga, ningemwambia akajiroge aondoke bungeni. watachafua chama chetu hawa watu... mpaka wachawi wabunge. kweli ccm imekwisha
 
JAMANI WENZETU WAKENYA WANA UPEO WA MBALI SASA WAMEAMUA KUADHIMIA BUNGE KWAMBA ELIMU YA MBUNGE IWE NI UNIVERSITY DEGREE na waka kazia zaidi kwa kusema Honarable degree is not an academic degree.
TANZANIA YATUPASA KUJIPANGA..
 
Hiyo cv ni ya uongo kumbuka ni profu yule tena ni tabibu . Sasa wewe ujaweka .waganga walomfundisha hayo matunguli yake . Tujuze vizuri mkulu
 
Dah! jama natangaza kugombe 2015, kule kwa mzee wa kiraracha, nia ninayo na elimu ya fom 2 ninayo, si nimemzidi Prof, maji marefu!!
 
kichaka kingine!

Bora hiki ambacho kinajulikana kuliko wakina Prof Magembe na Kapuya. Hakuna kitu kibaya kusoma kwa hela za wananchi halaf badala ya kuwasaidia unaaamua kuwadhulumu. MF. Mh. Chenge, kasomea Harvard ila vijisenti anabeba mpaka leo
 
Back
Top Bottom