CV ya Hilary Ngonyani(Profesor Maji Marefu), Mbunge wa Korogwe Vijijini

u guys have made my day today! kha! hapo ndio ule msemo wa kusoma sio ku-win unapokamilika! kweli this country is mo than i thought!
 
Namimi natangaza rasmi kugombea 2015.Kumbe elimu yangu ya form 4 inaniruhusu.
 
Kuanzia sasa mbunge awe na Degree moja na kuendelea huu ni upuuzi ndio maana bungeni hukuna mijadala ya haja bali ni vioja tu na maneno ya kanga.

Hakuna wanalolijua zaidi ya kugonga meza na kushangilia,IQ zao ni ndogo sana.
 
jamani ndio democrasia .. korongwe vijijini wameona amefaa
 
Huyu huu uprof labda alipewa huko uchawini!@majimoto ebu tusaidie hii tittle kaitoa wapi???
Bunge letu c salama tena!
Rev Msigwa hawa ndio wakuombewa hawa
 
Kuanzia sasa mbunge awe na Degree moja na kuendelea huu ni upuuzi ndio maana bungeni hukuna mijadala ya haja bali ni vioja tu na maneno ya kanga.

mkuu mbona utawapunguza magamba wengi sana!
 
Na 2015 atapita bila kupingwa kisa watu wnaogopa kufa kabla ya muda wao
 
Kazaliwa 1956 kaanza darasa la kwanza 1970?Alianza darasa la kwanza akiwa na miaka 14 na kumaliza na miaka 21?

Kazi kweli kweli!
 
Namimi natangaza rasmi kugombea 2015.Kumbe elimu yangu ya form 4 inaniruhusu.

Mkuu, kuna kitu kimefichwa hapo kwenye hiyo CV bana, kwani uganga alisomea lini na wapi, mbona hapo kwenye hiyo CV sioni, au alificha makusudi? kumbuka wewe huna hiyo so usigombee kaka, labda kama utapitia magamba!
 
mkuu mbona utawapunguza magamba wengi sana!

Wacha wapungue tu mkuu ,tuanhitaji watu watakao kuja na hoja binafsi zenye hoja kuibana serikali iende sawa sawa sio wapokea posho na wagonga mezu tu hapa ndio maana hukuna wanalofanya zaidi ya kuzomea zomea.
 
kudadadadeki tuwalambe tusiwalambeeeeeeeeeeeeeee?tuwachane tusiwachaneeeeeeeeeeeeeee?CCM OYEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE? KIGUMU CHAMA CHA MAPINDUZI.
 
Back
Top Bottom