MzalendoHalisi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2007
- 4,520
- 1,368
Wandugu nimeenda kule kwa Michuzi MICHUZI
kuna majadiliano mazuri ya dada wa Zambia aliyesoma Oxford na Havard!
Je Africa tukikatiwa misaada na hii ikaelekezwa kwa wajasiriamali moja kwa
moja ndo tutatake off?
Yaani misaada kama Budget Support tusipewe..wapewe tu wananchi wajasiriamali in the forms of micro-credits!
My position: hata mimi nakubali kuwa misaada Afrika ndo chanzo cha kurudi nyuma ktk maendeleo!
Haiingii akilini UK kutoa 100 Billions Budget Support kila mwaka na pesa hii kutumika kununulia mashangingi ya bei mbaya na ndege ghali ya raisi!
Mnasemaje? Bora hii pesa wangepewa wajasiriamali wadogo au benki za kutoa mikopo kuliko serikali?
kuna majadiliano mazuri ya dada wa Zambia aliyesoma Oxford na Havard!
Je Africa tukikatiwa misaada na hii ikaelekezwa kwa wajasiriamali moja kwa
moja ndo tutatake off?
Yaani misaada kama Budget Support tusipewe..wapewe tu wananchi wajasiriamali in the forms of micro-credits!
My position: hata mimi nakubali kuwa misaada Afrika ndo chanzo cha kurudi nyuma ktk maendeleo!
Haiingii akilini UK kutoa 100 Billions Budget Support kila mwaka na pesa hii kutumika kununulia mashangingi ya bei mbaya na ndege ghali ya raisi!
Mnasemaje? Bora hii pesa wangepewa wajasiriamali wadogo au benki za kutoa mikopo kuliko serikali?