johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,998
- 142,023
Ikumbukwe wakati wa Utawala wa hayati Ben Mkapa ndio yalikamatwa makontena Yenye majambia huko bandarini yakihusishwa na chama cha Siasa cha CUF ambacho Wafuasi wake waliojitenga ndio hawa ACT wazalendo Zanzibar
Tumshukuru Mungu wa mbinguni kwa ushupavu wa IGP Mahita kwa kweli aliona mbali
Sabato Njema 😀
Tumshukuru Mungu wa mbinguni kwa ushupavu wa IGP Mahita kwa kweli aliona mbali
Sabato Njema 😀