rusesa
JF-Expert Member
- Jun 1, 2013
- 538
- 233
Habari wana jf.
Baada ya ukaguzi wa CAG tumeweza kujua ni vyama vipi vya siasa vinaganga njaa. mfano chadema. Ni mewataja chadema kwasababu wao ndio walio jinasibu kuwa wapinga ufisadi na mwenye uchu na maendeleo na taifa hili.
CAG kabaini kuwa kati ya vyama 22 vilivyosajiliwa chama cha CUF tu ndio kilipeleka nyaraka na kukaguliwa.
Je uzalendo tuliokuwa tukiambiwa na chadema upo wapi?
Je ntakosea nikisema chadema ni jipu kama Ccm?
chanzo: mwananchi
NOTE:
UZII HUU NUJUA UTAFUTWA HARAKA: UKWELI UTABAKI PALE PALE: KUUONDOA UZII HUU SI DAWA.
Baada ya ukaguzi wa CAG tumeweza kujua ni vyama vipi vya siasa vinaganga njaa. mfano chadema. Ni mewataja chadema kwasababu wao ndio walio jinasibu kuwa wapinga ufisadi na mwenye uchu na maendeleo na taifa hili.
CAG kabaini kuwa kati ya vyama 22 vilivyosajiliwa chama cha CUF tu ndio kilipeleka nyaraka na kukaguliwa.
Je uzalendo tuliokuwa tukiambiwa na chadema upo wapi?
Je ntakosea nikisema chadema ni jipu kama Ccm?
chanzo: mwananchi
NOTE:
UZII HUU NUJUA UTAFUTWA HARAKA: UKWELI UTABAKI PALE PALE: KUUONDOA UZII HUU SI DAWA.