TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI.
CUF TUNAIPONGEZA CHADEMA KWA KUKUBALI KUUNDA SERIKALI YA PAMOJA ARUSHA
HAKI SAWA KWA WOTE
.............Lakini jambo muhimu zaidi ni kuwa CUF inasimamia kuwepo kwa serikali ya pamoja pale ambapo tutakabidhiwa dola, tutaunda serikali ya kumshirikisha kila mtanzania mwenye uwezo na kipaji cha kuongoza bila kujali jinsia yake, dini yake, kabila lake, uwezo wake wa kiuchumi alionao wala itikadi yake, hivi ndivyo manifesto yetu katika kila uchaguzi inasimamia na hivi ndivyo CUF inaamini.HAKI SAWA KWA WOTE....................
unafiki ni dhambi mbaya sana.haya aliyoandika mtatiro ni unafiki mtupu.taarifa kwa vyombo vya habari.imetolewa na mhe. Julius mtatironaibu katibu mkuu - bara juni 21, 2011 cuf chama cha wananchi tunakipongeza chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) kwa kuridhia kuunda serikali ya pamoja na chama cha mapinduzi (ccm) na tanzania labour paty (tlp) katika manispaa ya jiji la arusha. katika makubalino hayo chadema kimemtambua mhe. Gaudance lyimo (ccm) kuwa ndie meya wa jiji la arusha, halikadhalika mhe. Diwani estomih mala (chadema) kuwa naibu meya kuanzia sasa hadi 2014, atakapomwachia nafasi hiyo diwani wa tlp, mhe. Michael kihuyo. cuf inaamini kuwa maridhiano haya yameonyesha kuwa chadema sasa wanaelekea katika ukomavu wa kisiasa na kwamba siasa za uhasama, chuki, uchochezi na mauaji hazina tija kwa maendeleo ya taifa letu. lakini jambo muhimu zaidi ni kuwa cuf inasimamia kuwepo kwa serikali ya pamoja pale ambapo tutakabidhiwa dola, tutaunda serikali ya kumshirikisha kila mtanzania mwenye uwezo na kipaji cha kuongoza bila kujali jinsia yake, dini yake, kabila lake, uwezo wake wa kiuchumi alionao wala itikadi yake, hivi ndivyo manifesto yetu katika kila uchaguzi inasimamia na hivi ndivyo cuf inaamini.cuf tunaipongeza chadema kwa kukubali kuunda serikali ya pamoja arushaposted by;mohammed mtutuma,msaidizi maalum wa naibu katibu mkuu,cuf tanzania bara.haki sawa kwa wote
Tuwachunguze labda wameamua kubadilika!!unafiki ni dhambi mbaya sana.haya aliyoandika mtatiro ni unafiki mtupu.