CUF: Taarifa kwa waandishi wa Habari juu ya Kujiuzulu Mwenyekiti Prof. Lipumba

Kwa kweli nawatakia CUF kila la heri. Kuhama chama ni maamuzi ya kidemokrasia. Lakini swali ni hili, Why now? Lipumba anatakiwa kufahamu kwenye kila jambo kuna ku-give na ku-take. Huyu Lipumba kashindwa ku-give na anataka tu ku-take. Haiwezekani. Safari njema profesa Lipumba. Kitokuwepo kwako will not be felt much.


Note : Prof Lipumba hajahama chama ila amejiuzulu kuwa mwenyekiti wa CUF
 
Asante sana ndugu jussa mungu akupe kila la kheri tumuache prof tamaa za dunia imemponza mungu atamlipa kwa ubaya aliyotutendea wa Tanzania
 
kudadadeki duh movie linaendelea....! nilidhani stering kafa movie limeisha kumbe linaendelea ha ha ha aaah hu mwaka huu sito usahau...LUMUMBA MPO....? HAKI SAWA,SAWA KWA NANI? HAKI KWA WOTE...
 
Tupo pmj walitegemea wakimwondoa Lipumba CUF itasambaratika. Kila kitu kinamaana yake yale yaliyotokea jana ni mpango wa mungu kwani ilisaidia kuondoa vurugu kwa wanachama kwahiyo hata alivyotangaza leo wanachama walishatulia wakijua kinachokuja mbele
 
Tatizo 4rm vi failure na dj mbowe anataka kuwaburuza watu wenye ujuz na elimu kwa kufanya maamuzi kinyume na makubaliano ya mwanzoni tuache unazi hapa kuna kidudumtu kaingia.
 
Kikwete anapotezwa na wapambe wanaomzunguka. Inaonekana ameshapigwa panic kali sana sana na sasa anakubali ushauri wowote bila kujiuliza mara mbili. Inachekesha sana jinsi walivyowapa fedha kina Lipumba na kuwaambia waseme. Kuna makosa mengi sana ya kiufundi yanafanyika kiasi ambacho hata ''waliokuwa wamelala'' sasa watajua kila kitu! SUBIRI UONE HII PLAN YA KUNUNUA WATU ITAVYO-BACKFIRE vibaya kwa CCM!

Kuna vitu vingine havifai kujadili mbele ya watu wenye akili timamu, likitokea jambo watu wamenunuliwa, hivi dr. slaa naye kapewa kiasi gani na kwa lipi umpe Lipumba hela, kama watu wananunuliwa na wanakubali kirahis hivyo basi ccm wameshashinda tayar kwan wanaweza kuwapa hela watanzania wote, tusijishushe kiasi hiki kwa hoja za kununuliwa hata hao ccm wanajua ni kazi bure kwan kura ni siri ya mtu, so hata ukiwapa hela ni bure tu. Prof Lipumba hawez kununuliwa kirahis hivyo yeye ameamua kusimamia yale anayoamini hili la Kikwete sijui kununua watu ni hoja muflisi kabisa.
 
Lakini huyu mleta uzi ni mtunzi mzuri sana wa hadhithi na wala hana mshipa wa aibu, yeye kusutwa ni jambo la kawaida kabisa. Msishangae Jussa akatokeza humu na kusema kuwa hii ni hadithi ya kuunda.
 
Baadhi ya wanachama na wapenzi wa CUF wamesikitishwa na kuponda kitendo cha mwenyekiti wao kujiuzulu huku wakidai kuwa yeye ndiye aliyewaaminisha kuwa UKAWA ni mzuri leo hii yeye anasema tena UKAWA sio mzuri.Wameenda mbali na kudai kuwa Prof. anatumiwa kwa zaidi ya asilimia 90 ili kudhoofisha nguvu ya UKAWA. Wanachama hao wamesema CUF itabaki imara na haitetereki.
Chanzo:ITV.
 
Kwa sasa watu.wameshakuwa waelewa .mwaka huu ccm kazi wanayo.Uchaguzi huu kwao ni mgumu mnoooAAAaa

Ll
 
Back
Top Bottom