Mke anaandaa mgomo dhidi ya mumewe mchana kisha anakuambia tushirikiane mgomo huu,kisha usiku anaingia chumbani na mumewe na huba linaendelea. Utakuwa mjinga kumuunga mkono huyo mke.Nawapongeza CUF na kuwalaani CDM kwa ukimya wao katika suala hili la Katiba. CUF wamethubutu jambo ambalo ni gumu kufanywa na CDM maana wao wako kimaslahi zaidi. Kama sivyo jitokezeni mniambie kwa nini hamkushiriki maandamano ya jana
Nawapongeza CUF na kuwalaani CDM kwa ukimya wao katika suala hili la Katiba. CUF wamethubutu jambo ambalo ni gumu kufanywa na CDM maana wao wako kimaslahi zaidi. Kama sivyo jitokezeni mniambie kwa nini hamkushiriki maandamano ya jana
Poyoyo naona amedandia treni kwa mbele,CUF sasa hivi bandugu siku hizi sio ile ngangari tuliyoizoea siku za nyuma,hivyo basi kila jambo linalofanywa na CUF sasa hivi tuwe tunalitazama mara mbili mbili na sio kukurupuka tu,kila mtu anafahamu sasa hivi kuna suala la mgao wa umeme sambamba na TANESCO ama serikali kutakiwa kuilipa DOWANS mamilioni ya pesa,sasa wasiwasi wangu isije ikawa CUF inatumika kuondoa mawazo ya watanzania kuhusu mgao na malipo ya DOWANS na Kuyapeleka kwenye maandamano ya CUF kudai katiba ambayo wameapa kuilinda na kuitetea! Hili ni angalizo tu bandugu.
Nawapongeza CUF na kuwalaani CDM kwa ukimya wao katika suala hili la Katiba. CUF wamethubutu jambo ambalo ni gumu kufanywa na CDM maana wao wako kimaslahi zaidi. Kama sivyo jitokezeni mniambie kwa nini hamkushiriki maandamano ya jana
Katiba gani inaandikwa na chama kimoja CUF peke yake halafu watu wanaenda kuandamana si wangesambaza tuone contents kwanza au watoe tuone walichompa mama CK pale wizara ya katiba? wanakataa hii iliyopo kwa sababu iliandikwa na chama kimoja halafu wanaandika ya kwao wanaiita rasimu ya katiba ya URT, nani kaiandika? tusitaniane katiba si document rahisi kuandika hivyo inahitaji sober minds sii za akina Mtatiro!
By the way wana JF did you hear what Mtatiro said to the journalists? aliwaambia eti "katiba ina ruhusu raia kuandamana wakati wowote!" meaning the current katiba is not that bad afterall!! strange so what exactly were they demonstrating for?
Ila tusubiri tutaona na kusikia vituko vingi around the katiba mwaka huu, it is the current song for parrots! tusubiri NCCR, TLP, UDP, CCM, CDM, Maaskofu, Masheikh, wahinduu and any tomm and harry who feel like bringing his hodge podge calling it katiba to bring it, tukae tusome zote then we come out with one! Tuache vurugu, we need cool heads to work on this important document.
Nawapongeza CUF na kuwalaani CDM kwa ukimya wao katika suala hili la Katiba. CUF wamethubutu jambo ambalo ni gumu kufanywa na CDM maana wao wako kimaslahi zaidi. Kama sivyo jitokezeni mniambie kwa nini hamkushiriki maandamano ya jana