Ngoja nibadilishe ID yangu isije kuja kuhusishwa na huu upuuzi wa UAMSHO.
umenichekesha sana mkubwa!
Ngoja nibadilishe ID yangu isije kuja kuhusishwa na huu upuuzi wa UAMSHO.
Mkuu Mchakamchaka pole sana wamekuvamia pole saana ha ha ha ha hahaNgoja nibadilishe ID yangu isije kuja kuhusishwa na huu upuuzi wa UAMSHO.
we ndio msuluhishi wa kesi?Hivi Chadema mbona hawataki vyama vingine vifanye harakati zao za kisiasa, Chadema hawapatani na TLP, hawapatani na CUF, hawapatani na UDP, hawapatani na NCCR Mageuzi, hawapatani na hivi vyama vipya ADC, CCK.. Sasa msijifanye nyie ndio wapinzani wa Tanzania kwa kupata wabunge 23 Tanzania kubwa kuna sehemu Chadema hawafahamiki.
Ngoja nibadilishe ID yangu isije kuja kuhusishwa na huu upuuzi wa UAMSHO.
kwahiyo ni mwendo wa kukimbia kwa kwenda mbele hadi visigino vikatike
Hivi Chadema mbona hawataki vyama vingine vifanye harakati zao za kisiasa, Chadema hawapatani na TLP, hawapatani na CUF, hawapatani na UDP, hawapatani na NCCR Mageuzi, hawapatani na hivi vyama vipya ADC, CCK..
Sasa msijifanye nyie ndio wapinzani wa Tanzania kwa kupata wabunge 23 Tanzania kubwa kuna sehemu Chadema hawafahamiki.