CUF kuanika hadharani mazungumzo yao na rais baada ya kukutana nae kesho

Kuliko kuumiza kichwa maswali yasiyo na mjibu si bora usubiri kesho CUF yenyewew watasema?
Hivi CUF wana wabunge wangapi wanaotoka Tz Bara?? Wanakwenda kuwakilisha maslahi ya Zbr au Tz maana Tanganyika tangu ife 1964 hajazaliwa tena mtoto akapewa jina hilo!!!!!!!! Kichekeshoooooooooooooooooooo!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Namuonea huruma Julius Mtatiro. Kaka ulipochagua CuF naamini hukufanya utafiti vizuri. Kwa ninavyokufahamu, uko katika wakati mgumu sana kisiasa kwa sasa kuliko wakati mwingine wowote. Fanya maamuzi sahihi sasa, hapo ulipo hapakufai.
 
Baada ya viongozi wa CUF kuwasilisha hoja zao leo asubuhi kwa JK amewaomba warudi jioni ya saa12 leo hii kwa majadiliano zaidi kupata majibu ya hoja zao.
 
Big up makomandoo endeleeni kumbana JK mpaka nchi iwe kama watanzania tunavyotaka.
 
wamemepeleka nini maana hata kusidio lao sijalielewa! kama mswada waliupitisha kitu kipya gani kingine. sion mantink yao zaid ya kuiga
 
CUF na CDM wamezungumza; NCCR lao moja na CDM sasa wale wengine UDP na TLP wao mawazo yao ni yepi?

CUF hawakuweza kutumia vema muda wa kuchangia bungeni baada ya kuelekeza mashambulizi kwa Tundu Lissu badala ya muswada uliokuwa mbele yao; hata hivyo kama michango ya wabunge wa CUF tayari iko kwenye HANSARD za Bunge na kabla ya muswada walishapeleka mapendekezo yao haya mazungumzo na raisi yalikuwa na agenda gani? au ni mchakato wa kupendekeza majina ya wajumbe wa tume umeanza?
 
..what ever they did before I am interested kujua hoja walizowasilisha kwa Raisi ni zipi.

..kumbuka ktk ujumbe wa CUF alikuwepo Bw.Jussa ambaye anatambulika kwamba hataka kabisa masuala ya muungano.
 
CUF hawako creative,wanajaribu kujibu hoja walizowasilisha Chadema kwa Rais. Hawana uzalendo na ni wazandiki wakubwa,kinachowauma ni kupoteza mvuto wa kisiasa na hivyo Chadema kuwa kipenzi cha wazalendo halisi wa nchi hii.

Kwa vyovyote vile watakuwa wameenda kupinga kila hoja ya Chadema na bila kupeleka mapendekezo yoyote mbadala si wamekaa kishari shari! aaah sipendi mimi siasa za hivi!!!
 
mkuu mbona kama wenzetu kama hawawezi ku arange mambo?wanafanya mambo kienyeji sana
 
I LIKE CUF STYLE.Nimwakubali hii ndiyo namna ya kutumia demokrasia.Yaani bungeni walikuwemo na Ikulu wanakwenda.Nadhani hiyo itakuwa ni namna yao ya kushawishi kilewanchotaka kifanyike kifanikiwe kwa kutumia very well calculated methods.
 
wamemepeleka nini maana hata kusidio lao sijalielewa! kama mswada waliupitisha kitu kipya gani kingine. sion mantink yao zaid ya kuiga

inasemekana kesho asubuhi wataongea na vyombo vya habari juu ya kilichowapeleka ikulu.TUSUBIRI
 
CUF hawako creative,wanajaribu kujibu hoja walizowasilisha Chadema kwa Rais. Hawana uzalendo na ni wazandiki wakubwa,kinachowauma ni kupoteza mvuto wa kisiasa na hivyo Chadema kuwa kipenzi cha wazalendo halisi wa nchi hii.

Kwa vyovyote vile watakuwa wameenda kupinga kila hoja ya Chadema na bila kupeleka mapendekezo yoyote mbadala si wamekaa kishari shari! aaah sipendi mimi siasa za hivi!!!

kaka hizo shari unazosema ni zipi?na we unajua jinsi jamaa walivyoamua kuwa wastaarabu ila ndo hivyo Ukiwachokoza lazima wakuumize hii ni desturi ya binadamu.Na kama ni creativity wao si ndo wa kwanza kabisa kuibuka na hoja ya katiba mpyaa tangu mwaka 1992 na wengine wakakopy ama ndo kujifanya umesahauu?
 
I LIKE CUF STYLE.Nimwakubali hii ndiyo namna ya kutumia demokrasia.Yaani bungeni walikuwemo na Ikulu wanakwenda.Nadhani hiyo itakuwa ni namna yao ya kushawishi kilewanchotaka kifanyike kifanikiwe kwa kutumia very well calculated methods.

CUF ina wabunge wangapi wa kuchaguliwa Tanganyika?
 
Nomba tena sana kama Mtatiro utatembelea jamiiforums utueleze sisi wafuasi wa CUF, ni mapungufu gani yaliyomo kwenye kswada na sasa sheria ya uundwaji wa tume ya katiba mpya, ambayo kwa mara ya kwanza chama chetu hakikuyaona na sasa yamegundulika.
Nasema hivyo ikiwa kundi lote lile la wabunge wetu wa CUF halikuweza kuona hayo mapungufu na likatumia mda wa majadiliano kuwatukana akina TUNDU LISU, na baada ya haohao tuliokuwa tukiwatukana kuona kuuwa kuna mapungufu na wakaamua kwenda kwa JK, na hapo nasisi ndo tumefunguka macho yakuwa kunamapungufu basi yafaa tuwaombe radhi akina TUNDU maana waliyaona tokea mwanzo na sisi tulikuwa vipofu wa kuona

Kibaya ambacho nakiona nikuwa matatizo yalikuwepo, nasi tuliyaona ila kwa kuwa kwa sasa tuna mahusiano makubwa na CCM, hatukutaka kuwadhalilisha pale mjengoni tukaona kuwa nibora tuwasapoti, pamoja na mapungufu yote, kusudi tusije haribu mahusiano yetu,

kama mtatiro utaisoma tafadhali naomba maelezo zaidi ili tusiendelee kupotoshwa humu jamiiforums ,sisi tuko Tanga lakini tunashindwa kuwaeleza vizuri wanao hoji kuhusu hilo
 
Back
Top Bottom