Crimea yapiga kura na kuamua kuungana na Russia.

Mkuu kama kweli umeshindwa kutofautisha mgogoro wa Eastern Congo (Rwanda/Uganda) na ule wa Crimea (Ukraine/Russia) then EMT anapoteza muda wake tu hapa.

Unfortunately kama huoni similarity hiyo basi unahitaji miwani yenye nguvu sana. Kudai kuwa Crimea ilikuwa ni sehemu ya Urusi zamani kwa hiyo Urusi wana haki nayo leo ni upungufu mkubwa wa maoni; walikuwa na haki kabisa kuichukua Crimea tena mwaka 1991 wakati walipovunja muungano wa USSR na kugawana mipaka upya, lakini hawakuichukua, na badala yake wakaandikiana mktaba mwaka 1994 kuheshimu mipaka ya Ukraine kama ilivyo sasa pamoja na Crimea ikiwa ni sehemu ya Ukraine. Kwa hiyo madaia kuwa Crimea ilikuwa sehemu ya Urusi siyo kweli na wala hata Putin hajavamaia kwa kudai kuwa ilikuwa ni sehemu ya Urusi zamani.

Putin alisema kuwa ameingia pale kwenda kuwalinda watu wenye asili ya Urusi. Kwa hiyo basi iwapo swala ni watu wenye asili ya Urusi, hakuna tofauti kabisa na Rwanda/Uganda kuvamia kongo kwenda kulinda watu wenye asili ya Rwanda na Uganda walioko Kongo. Inawezekana wewe umesikia taarifa tofauti kuhusu sababu za Putin kuingia pale.

Panuka akili uachane na njia za mkato mkato kwenye mijadala.
 
Wewe hukuona uvamizi wa urusi unaona kura ya maoni tu. Hata huoni kabisa kuwa
Crimea inapiga kura leo kujiunga na Urusi wakati kuna jeshi la Urusi limevamia pale? Uncommon common sense kweli kweli!
 
Yaani hapa umeandika upuuzi tu, iwapo mipaka haina maana basi isingekuwapo na wala tusingekuwa tunahitaji passport kusafiri. Halafu mogogoro wa Urusi wewe unaingiza Marekani, kuonyesha jinsi ulivyo na maono potofu.

Of course, kwa mtu ambaye ni pro-west ataona nimeandika upuuzi. Ni sawa na mtu anayeeleza biashara ya utumwa from an eurocentric point of view lazima atamwona mpuuzi yule anayeangalia from historical point of view. In fact wala siyo upuuzi, but merely a different perspectives. But kwako mtu akipingana na your pro-west point of view unamwona ni mpuuzi. Mie nitakuona ni ignorant.

Huwezi kujitetea kuwa ulfanya kosa kwa vile mwendesha mashitaka naye alifanya kosa hilo hilo. Simamia haki ya Ukraine dhidi ya Urusi siyo ubariki madhamabi ya urusi eti kwa vile marekani naye alishafanya madhambi hayo. Marekani anapofanya huwa tunazungumza tena tulipiga kelele sana alipvamia Iraki kama ulikuwa umejiunga na BCStimes forum kabla haijahama kuwa Jambo na mwishini Jamii forums utakumbuka tulivopiga kelele kuhusu uvamizi huo.

You don't even make any sense. Kama unataka kusimamia haki Ukraine then you must take into account haki za watu wa Crimia. Huwezi kusimamia haki ya Ukraine huku unatakandamiza voices za watu wa Crimea. Otherwise, you will sound very hypocritical. Eti simamia haki za Tanzania, lakini kandamiza haki za Wazanzibari.

hakuna makosa kutetea kosa kwa sababu mtu mwingine naye alifanya kosa hilo.

Hivi wewe kichwa chako kigumu kuelewa au unaandika for the sake of it? Nenda katafute maana ya whoever who comes into equity must come with clean hands.

Mataifa dhaifu nayo yana haki ya kuishi kwa amanai bila kubughudhiwa na mataifa makubwa.

Pia minorities wanaoishi kwenye mataifa madogo wanahaki ya kuishi kwa amani bila kubughudhiwa na majority.
 
Wewe hukuona uvamizi wa urusi unaona kura ya maoni tu. Hata huoni kabisa kuwa
Crimea inapiga kura leo kujiunga na Urusi wakati kuna jeshi la Urusi limevamia pale? Uncommon common sense kweli kweli!

Nini hasa kinachokuuma kwa Crimea kupiga kura ya kutaka kurudi Russia?

Kama unataka kuongelea uvamizi wa Russia anzisha thread yake specific.

Hapo tutajadili the legality of Russian invasion in Ukraine from the legal point of view na siyo kipropaganda.
 
Nini hasa "kinachokuuma" kwa Crimea kupiga kura ya kutaka kurudi Russia?

Kama unataka kuongelea uvamizi wa Russia anzisha thread yake specific.

Hapo tutajadili the legality of Russian invasion in Ukraine from the legal point of view na siyo kipropaganda.

Hiyo sentensi ya rangi inaonyesha weakness yako katika mjadala huu. Unaonega kiushabiki kuwa "kinakuuma nini" - an excessively selfish statement huenda kjwa sababu unae personal interest na Urusi kwa hiyo huoni upande opposite na urusi. Yaani huoni kabisa kuwa hiyo inaweza kuwa crisis inayohusu maisha ya biandamu wengine.
 
Of course, kwa mtu ambaye ni pro-west ataona nimeandika upuuzi. Ni sawa na mtu anayeeleza biashara ya utumwa from an eurocentric point of view lazima atamwona mpuuzi yule anayeangalia from historical point of view. In fact wala siyo upuuzi, but merely a different perspectives. But kwako mtu akipingana na your pro-west point of view unamwona ni mpuuzi. Mie nitakuona ni ignorant.



You don't even make any sense. Kama unataka kusimamia haki Ukraine then you must take into account haki za watu wa Crimia. Huwezi kusimamia haki ya Ukraine huku unatakandamiza voices za watu wa Crimea. Otherwise, you will sound very hypocritical. Eti simamia haki za Tanzania, lakini kandamiza haki za Wazanzibari.



Hivi wewe kichwa chako kigumu kuelewa au unaandika for the sake of it? Nenda katafute maana ya whoever who comes into equity must come with clean hands.



Pia minorities wanaoishi kwenye mataifa madogo wanahaki ya kuishi kwa amani bila kubughudhiwa na majority.

Matumizi ya matusi ni haki yako; isipokuwa huwezi kuja hapa na kudai kuwa kabila fulani linalokaa katika sehemu fulani ya nchi lina haki ya kusema kipande cha nchi hiyo wakayokaa kikatwe kihamishwe kwenda katika nchi ya jirani, halafu ukubaliwe. Itakuwa ni upungufu mkubwa sana wa busara kutetea upuuzi huo; nimeshatoa huko mifano ya kufikirika kuwa iwapo wahaya watasema wapige kura kuhamisha Kagera iwe sehemu ya Uganda lakini hujanijibu kama hiyo itakuwa ni sawa.

Hujatoa ushahidi wowote kuwa haki za watu wa Crimea zimekiukwa zaidi ya kusistiza tu kuwa wao wanataka kuwa sehemu ya urusi. Kutaka kuwa sehemu ya urusi siyo haki yao, wakitaka kuwa sehemu ya urusi kuna sheria za uhamiaji zinazowaruhusu kuhamia urusi.

Mambo mengine yote unayoandika ni matokeo ya hamaki isiyohitaji kujibiwa. Ila nakushauri utulize akili yako uachane na u-urusi kwanza uwe mtanzania na hivyo kuachana na misamiati ya prowestern; baada ya hapo uingalie Ukraine kama nchi kama ilivyo Tanzania. Ukifanya hivyo objectively basi utaona tatizo liko wapi lakini sasa hivi wewe unachukulia tendo la kuipinga urusi kuwa personal mpaka unauliza sisi kinatuuma nini; yaani umevaa koti la urusi mwili mzima kiasi kuwa huoni ubaya wake.
 
hila za western kuendelea kuidhoofisha russia zitashindwa kwa jinsi yeyote ile .
 
Hakuna anayeichukia Marekani bali kinachochukiwa ni unafiki wao. Hii ina-appy kwa mataifa mengine ya West.

Wote wanajua kuwa secession is not permitted under international law na wanatumia argument hiyo kupinga Crimea ku-secede from Ukraine.

Lakini wakati sehemu nyingine kama Sudan ya Kusini ilipotaka kujitenga Wamarekani hao hao hawaku-argue hivyo, bali walidai kuwa Wasudani wa kusini wana right to self-determination. Huo ndiyo unafiki wao at their very best.

The same Russia kuhusiana na kulinda watu Crimea huku wakiwatupa watu wa Syria. Wanachoangalia pande zote mbili hapa yaani Marekani na Russia in interests zao binafsi za kisiasa na kiuchumi na siyo interests za watu wenyewe.

Kama Wana-Crimea wanataka kupiga kura ya kubakia au kuondoka Ukraine, then the so called the most democratic country in the would should allow this to happen.

Hapo kwa red umemaliza kabisa! Unafiki uliokubuhu! Nadhani Mzee wetu Kichuguu ataelewa nini umesimamia.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom