Credibility ya CAG matatani tena!

Game Theory

Platinum Member
Sep 5, 2006
8,545
835
JF naona mmekuwa bize na party politics mpaka siku hizi haijulikani what we stand for anymore

Iko wapi JF ambayo ilikuwa haiishi kupata scoops kila kukicha on issues kama hizi?

We need the JF ya 2004/5 ambayo ilikuwa inafanya productivity kwenye maofisini kushuka

anyway

Habari za ndani kabisa kwenye ofisi ya Mkaguzi mkuu wa serikali ni kuwa kuna infightings za kufa mtu kwani kuna so much irregularities ambazo zinatokea na hii inaifanya ofisi nzima ya CAG kuonekana kama chaka la ma incompetents

Pia vile vile ofisi hii inamatatizo ya transparency na upande mwingine kuna taarifa kuwa kuna deliberate attempts za kuifanya isiwe transparent. Juzi walikuwa na kikao cha ndani kujadili namna gani wanaweza kupata public sympathy baada ya ofisi yao kuwa under fire from the media na public at large na moja kati ya options zilizoangaliwa ni kuwa na website na kufanya public campaigns ili watu wajue wanafanya shughuli gani lakini cha ajabu Bwana LUDOVICK UTTOH amekuwa against the whole idea ya kuweka wazi reports zao online kwa sababu ambazo haziko wazi zaidi ya kuwa anaogopa kuwaudhi ma cronies wenzie

By the way kule PCCB nako hali si hali na hawajui hata wafanye nini kudeal na hizi attacks from centre left and right nao pia wanajaribu kupata media strategy ya kujibu mapigo




Mengi naye msimao wake ni huu hapo chini wewe soma hii editorial:

Make CAG report on the UBT public

News that the government is now collecting 4m/- in revenue per day from the Ubungo Bus Terminal (UBT) compared to a paltry 1.5m/- that was being collected by a private firm, speaks volumes and is a sad reminder of the many lost opportunities that we, as a nation, have failed to utilize to garner sufficient resources with which to undertake crucial development projects.


According to the revelation, made by the Dar es Salaam City Council Director, Bakari Kingobi on Tuesday, the government lost a total of 4.5bn/- in the last five years when the private company, Smart Holdings Limited operated the terminal and collected revenue on behalf of the government.

Surprisingly, the 1.5m/- collected by the firm per day over the last five years remained constant all along even when there were rate increases. There were no good business days and days when things were down. This, in our view, does not make business sense.


We therefore, first commend the government for its decision not to renew the contract of the private operator and handing-over the operations of the country’s biggest bus terminal to the City fathers as a stop-gap measure.
According to the Dar es Salaam Regional Commissioner, William Lukuvi, the next step will be to float the tender and get another investor to operate the terminal and collect revenue accordingly.


Although Lukuvi was quick to assure the public that the new investor would be appointed on merit through tender bids, we call for caution. If the City fathers can make a staggering 4m/- per month from the terminal, we are sure a much more efficient and business-oriented investor can collect more than that amount.

Dar es Salaam, the country’s commercial capital is among the country’s urban centres that are poorly planned and lack some of the basic infrastructures. The aim, therefore, should be to increase revenue collection at the busy terminal so that the resources can be channeled to projects aimed at improving the city infrastructures.


We therefore wish to call for careful scrutiny and transparency in picking the next investor so that we don’t give room to fraudsters and people who cannot show any accomplishments in public service delivery.

However, we still believe the first investor has questions to answer. With this revelation, we believe Smart Holdings Limited should be made to tell the public the causes of their dismal performance.

We believe that this would very much assist the government to put in place measures to ensure that all potential revenue at the terminal is collected and used for bettering the city.



The lessons learnt from the private operator would also help the government to see to it that those who win contracts to serve the people, strictly adhere to them.

While we have cause to suspect Smart Holdings Limited over its running of the UBT, we believe the audit report by the Controller and Auditor General (CAG) on the terminal which is now in the hands of the Prime Minister has the answers to the many questions we have raised. We appeal to the Prime Minister to make the report public.



SOURCE: THE GUARDIAN


Apparently MZEE KINGUNGE kampiga mkwara UTTOH ripoti ya Ubungo isitolewe kwani inamuimplicate directly mwanae KINJE



sasa kazi kwenu kikosi cha CSI cha JF kuileta hii ripoti humu ijadiliwe
 
Apparently MZEE KINGUNGE kampiga mkwara UTTOH ripoti ya Ubungo isitolewe kwani inamuimplicate directly mwanae KINJE



sasa kazi kwenu kikosi cha CSI cha JF kuileta hii ripoti humu ijadiliwe

Anayetakiwa kuiweka ripoti public ni Waziri Mkuu au sivyo? so, Pinda naye ashambuliwe hapa siyo Utoh peke yake. Kumbuka pia aliyetoa ahadi ya kuiweka public ripoti hiyo ni Pinda. Naungana nawe kuomba CSI kuingia kazini, hii ripoti inaweza kupatikana tu, japo Executive summary.
 
GT, Ni kweli JF imeshuka makali yake ya zamani.Kwa maoni yangu mimi, Utouh alianza vizuri tena kwa nia njema, imefika mahali wamejikuta Ripoti za CAG zinaichafua serikali yenyewe, mwanzoni Utouh alikuwa imara anabanana nao, sasa amefikia mahali Utoh nae is in line to help save JK's face.Ile ripoti ya CAG kuhusu EPA bado imeiweka serikali mahali pagumu, ilikuwa kampuni ya Kagoda isiwepo kwa sababu ni kampuni maalum ya kazi maalum ambayo imekamilika na kuzaa matunda yaliyokusudiwa. Utoh alitakiwa kucompromise na serikali kuhusu hiyo kampuni maalum na kazi maalum na asiiorodhe Kagoda ili kuinusuru sio serikali ya JK bali Mtangulizi.Kitendo cha Utouh to stick to his guns by playing by the rules according to the books, imemjengea maadui wengi from within National Audit yenyewe, ndani ya serikali na above all mafisadi ambao sasa wanajipanga kutumia nguvu ya fedha walizonazo kuhakikisha wanamchafua CAG. Kaeni mkao wa kula, muda si mrefu, mtasikia kwenye vyombo vya habari vya mafisadi, kutamiminwa tuhuma lukuki kuhusu CAG. Uzuri wa Utouh, mimi binafsi namuaminia, kazi aliyolifanyia taifa hili ni nzuri so far so good.
 
GT, Ni kweli JF imeshuka makali yake ya zamani.Kwa maoni yangu mimi, Utouh alianza vizuri tena kwa nia njema, imefika mahali wamejikuta Ripoti za CAG zinaichafua serikali yenyewe, mwanzoni Utouh alikuwa imara anabanana nao, sasa amefikia mahali Utoh nae is in line to help save JK's face.Ile ripoti ya CAG kuhusu EPA bado imeiweka serikali mahali pagumu, ilikuwa kampuni ya Kagoda isiwepo kwa sababu ni kampuni maalum ya kazi maalum ambayo imekamilika na kuzaa matunda yaliyokusudiwa. Utoh alitakiwa kucompromise na serikali kuhusu hiyo kampuni maalum na kazi maalum na asiiorodhe Kagoda ili kuinusuru sio serikali ya JK bali Mtangulizi.Kitendo cha Utouh to stick to his guns by playing by the rules according to the books, imemjengea maadui wengi from within National Audit yenyewe, ndani ya serikali na above all mafisadi ambao sasa wanajipanga kutumia nguvu ya fedha walizonazo kuhakikisha wanamchafua CAG. Kaeni mkao wa kula, muda si mrefu, mtasikia kwenye vyombo vya habari vya mafisadi, kutamiminwa tuhuma lukuki kuhusu CAG. Uzuri wa Utouh, mimi binafsi namuaminia, kazi aliyolifanyia taifa hili ni nzuri so far so good.

Pasco you are missing the point!

Internally sasa hivi kuna soul searching baina ya bosi na management au top brass. Mfano kuna auditing zinafanywa kwakutafuta visasi na eventually vijana wanakuwa overzealous mpaka wanasahau mipaka na ethics za kazi zao.

Kuna incidents zaidi ya 6 ambazo baadae ikaja kujilikana kumbe ilikuwani mitego au trojan horses ambao waliwekewa wakajikuta wameandika madudu ambayo hawakuweza kutetea mbele ya kamati za bunge husika

Now the most interesting thing Uttoh anampigia simu Hoseah ili ampe ushauri on how best he should handle among others presha za Mzee Kingunge na Mengi. Sasa katika kupanic wanaangalia uwezekano wa kumpata mtu wa kuact as communications director wa CAG ili aweze kumiliki media and unfortunately wamesahau kuwa yes wanaweza kuwahandleOLD MEDIA kupitia personal relationship lakini tatizo liko kwa NEW MEDIA ya net forums na blogs.

Credibility huyu Uttoh hana na kama nayo asingechukua route ya SALVA RWEYEMAMU ya kukataa kuwa na website ambayo eventually itabidi watuwekee pdf version za hizo reports badala ya kubania na kwa kuanza wangeanza na FULL version na si ile edited version ya Kariakoo na Ubungo.

At the end of the day Uttoh kama amechemsha ataambiwa na hii cover ya kuwa eti mafisadi wanampiga vita wont work akitaka aonekana ana nia nzuri aache mchezo wa kuwa na versions 3 tatu za ripoti zake...
 
JF naona mmekuwa bize na party politics mpaka siku hizi haijulikani what we stand for anymore

Iko wapi JF ambayo ilikuwa haiishi kupata scoops kila kukicha on issues kama hizi?

We need the JF ya 2004/5 ambayo ilikuwa inafanya productivity kwenye maofisini kushuka



Mengi naye msimao wake ni huu hapo chini wewe soma hii editorial:

Credibility yako pia inaanza kupotea, kuna wakati ulikuwa unapinga kuwa maandiko ya Magazeti ya MENGI sio msimamo wa Mengi na kuwa yeye hana ifluence kuhusu nini kiandikwe na nini kisiandikwe SASA NI HABARI GANI UNATULETEA HAPA????????
 
Credibility yako pia inaanza kupotea, kuna wakati ulikuwa unapinga kuwa maandiko ya Magazeti ya MENGI sio msimamo wa Mengi na kuwa yeye hana ifluence kuhusu nini kiandikwe na nini kisiandikwe SASA NI HABARI GANI UNATULETEA HAPA????????

try to understand the difference between EDITORIAL and NEWS ARTICLE
 
Utouh akiona anabanwa aachie ngazi kuliko kuendelea kuharibu jina na heshima yake.
Ni ajabu kwa wakati tulionao kukataa kuweka ripoti zake online
kwani ni siri?
Ofisi ni yake au ya umma?
Anaficha kwa faida ya nani?
 
Pasco you are missing the point!

Internally sasa hivi kuna soul searching baina ya bosi na management au top brass. Mfano kuna auditing zinafanywa kwakutafuta visasi na eventually vijana wanakuwa overzealous mpaka wanasahau mipaka na ethics za kazi zao.

Kuna incidents zaidi ya 6 ambazo baadae ikaja kujilikana kumbe ilikuwani mitego au trojan horses ambao waliwekewa wakajikuta wameandika madudu ambayo hawakuweza kutetea mbele ya kamati za bunge husika

Now the most interesting thing Uttoh anampigia simu Hoseah ili ampe ushauri on how best he should handle among others presha za Mzee Kingunge na Mengi. Sasa katika kupanic wanaangalia uwezekano wa kumpata mtu wa kuact as communications director wa CAG ili aweze kumiliki media and unfortunately wamesahau kuwa yes wanaweza kuwahandleOLD MEDIA kupitia personal relationship lakini tatizo liko kwa NEW MEDIA ya net forums na blogs.

Credibility huyu Uttoh hana na kama nayo asingechukua route ya SALVA RWEYEMAMU ya kukataa kuwa na website ambayo eventually itabidi watuwekee pdf version za hizo reports badala ya kubania na kwa kuanza wangeanza na FULL version na si ile edited version ya Kariakoo na Ubungo.

At the end of the day Uttoh kama amechemsha ataambiwa na hii cover ya kuwa eti mafisadi wanampiga vita wont work akitaka aonekana ana nia nzuri aache mchezo wa kuwa na versions 3 tatu za ripoti zake...

Jamaa wana website na ripoti za ukaguzi huwa wanaziweka, to be honest, sikujua kuwa wanaripoti za version tatu, yaani ile ya kweli, na ile ya public consuption, hiyo version ya 3 ni ya nini, au malice kama ile ya Richmond?.
 
Ludovick Utoh,ni mtu wa system,so nothing can change!Do you think anawweza kuwaindependent?
Alikuwa NBAA muda mrefu sana.I am not sure alikuwa na cheti cha kutambulika CPA au ACCA though alikuwa top wa accounting body.Ni bongo hii
 
Jamaa wana website na ripoti za ukaguzi huwa wanaziweka, to be honest, sikujua kuwa wanaripoti za version tatu, yaani ile ya kweli, na ile ya public consuption, hiyo version ya 3 ni ya nini, au malice kama ile ya Richmond?.

Pasco

tunaomba link ya hiyo website ya CAG
 
Junior staff wana lalamika kuwa mgt haitazami jinsi wanavyolipwa hivyo inakuwa ngumu kwao kuvuta toka mashirika mbali mbali ya serikali wanakoenda kufanya auditing
 
Back
Top Bottom