badshah
Member
- Mar 16, 2013
- 51
- 32
siku hizi watu wanang'aa katika mitandao ya kijamii kwa kutumia cream ya Photoshop. cream hii hata uwe na uso kama fenesi lakini zinatolewa zoooooooooote unakuwa na sura mpyaaaaaaaaaaaaaaaa!!! ngoma upate appointment ya kuonana weeeeeehhh kazi inakua hapo sasa.
http://www.staryte.ucoz.com
http://www.staryte.ucoz.com