CRDB ni matapeli?

Babu Kijiwe

JF-Expert Member
Mar 31, 2010
4,762
4,576
Wakuu hii bank sijui inafanyia nini mishahara ya watumishi wa uuma maana mpaka leo hawajaweka pesa. Naamini kuna kamchezo kanaendea... Hazina nao wako kimya sasa sijui kama wanashirikiana katika hili au kunanini? Mzee Kimei leta pesa zetu acha kutuchezea please.
 
Povu linakutoka kama umemeza omo... Wanafunzi wakidai mikopo na kuandamana mnakuwa wa kwanza kutoa kejeli... Hahaha
 
Ila Crdb wangese sana hasa makao makuu ngoja kuna ka mtu pale kanatengeneza mzingira ya rushwa ntakabomoa tuuu kwa maana hakuna namna
 
Bank hawawezi kaa na ela yako mkuu. Hazina watakuwa hawajapeleka
hata wafanyakazi wa migodini hawajapata wakati wanaochukulia stanbic na standard charted walishalamba, inaonekana kuna sintofahamu,
 
Nikweli CRDB huduma zao mashaka sana. Walinipatia ATM card zao ( VISA card ) nikasafiri kwenda nje kufika huko sikuweza kuitumia.
 
Back
Top Bottom