BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,003
Nilipita majuzi kuchukua hela atm wapendwa
wakati nikiwa kwenye folen nikakuta kaka mmoja anasubiri na yeye huku akihimiza watu
jamani nimetoa hela jana nikaomba lakimbili zikatoka 160,000 na riisit ya lakimbili..
Nina kesi hapo na crdb wamesema wanarekebisha lakini asbh nikachukua hela same problem
nimetoka hapo ndani wanadai wanaangalia watanijulisha..so muwe makini wakati wa kuchukua
muhesabu hela zenu.....
Nilishtuka sana sana mwanzoni sikuamini ila nilipomwona jamaa wa crdb akaja akamuuliza
umeshatoa akamwambia bado ..akamsubiria alipotoa akacommand 200,000 this time ikatoa 180,000
lakini kwa wengine zilitoka normal nikajiuliza kuna tatizo gani atm yetu nzuri inayotupiga tafu jamani???
wakati nikiwa kwenye folen nikakuta kaka mmoja anasubiri na yeye huku akihimiza watu
jamani nimetoa hela jana nikaomba lakimbili zikatoka 160,000 na riisit ya lakimbili..
Nina kesi hapo na crdb wamesema wanarekebisha lakini asbh nikachukua hela same problem
nimetoka hapo ndani wanadai wanaangalia watanijulisha..so muwe makini wakati wa kuchukua
muhesabu hela zenu.....
Nilishtuka sana sana mwanzoni sikuamini ila nilipomwona jamaa wa crdb akaja akamuuliza
umeshatoa akamwambia bado ..akamsubiria alipotoa akacommand 200,000 this time ikatoa 180,000
lakini kwa wengine zilitoka normal nikajiuliza kuna tatizo gani atm yetu nzuri inayotupiga tafu jamani???