LazyDog
JF-Expert Member
- Apr 10, 2008
- 2,473
- 189
Kusoma cookery ilikuwa dili, mapochopocho kibao siku ya practical na kukiwa na wageni mnaenda kupika mamisosi. Basi unafungasha na kwenda kuwagawia ndugu zako. Kwa vile ukimpa anaweza kukataa, unavizia hayupo unamwekea kwenye locker lake au popote pale al muradi mzigo aupate!
Nilipokuwa form 1, mama yangu wa shule alikuwa akinifanyia kila kitu, kutandika kitanda, kunifulia, kuninyooshea na kunitafutia maji ya chai. Ilikuwa raha sana. Namkumbuka na kumuheshimu hadi leo.
Are you serious?!
What were you supposed to do in return?