Sizinga
Platinum Member
- Oct 30, 2007
- 9,101
- 6,027
huyu jamaa jamani mtambue, huyu sio ngozi nyeusi...ni rahisi kwa yy kustep down kuliko ngozi yetu hii nyeusi!!
Kumbuka yy mambo yake mengi ya kibiashara hayaendi, coz of siasa uchwara, na biashara zake ndizo hasa zinazomuingizia
mtaji mkubwa kuliko siasa uchwara!! Ni bora alivyoamua kukaa kando kudeal na bisinez zake, ngozi nyeusi ni ngumu kuacha siasa za uchwara na mnaona akina ngeleja chenge woteee hawa ilibidi wastep down kitambo lakini ndugu yangu Miafrika ndivyoo Tulivyo!!
Kumbuka yy mambo yake mengi ya kibiashara hayaendi, coz of siasa uchwara, na biashara zake ndizo hasa zinazomuingizia
mtaji mkubwa kuliko siasa uchwara!! Ni bora alivyoamua kukaa kando kudeal na bisinez zake, ngozi nyeusi ni ngumu kuacha siasa za uchwara na mnaona akina ngeleja chenge woteee hawa ilibidi wastep down kitambo lakini ndugu yangu Miafrika ndivyoo Tulivyo!!