Cost of living in Tanzania

stringerbell

Member
Feb 19, 2010
86
0
wanajamii habari zenu
jamani naomba kuwauliza kuhusu cost of living sasahivi hapo bongo,mimi nipo state natarijia kuja hapo kukaa kwa muda wa miezi 4.
bei ya vyakula kama mchele ,maharage,vitunguu,mbatata n.k ni kisai gani
vinwaji kama bia na soda kiasi gani?
petrol kwa litre kiasi gani
nyama na kuku kilo kiasi gani
mobile phone rate

pamoja na gharama nyengine muhimu ambazo nimesahau kuzitaja.
 
We nenda tu bongo, Maisha laini, hasa kama una hizo USD, tatizo ni sisi tunaopata pesa za madafu hapa Bongo,
Just fyi, kilo ya mchele is almost 1 usd kwa sasa, Mobile charges are resonable (kila provider na mtindo wake) we njoo na hizo dollar angalau ukuze uchumi bwana
 
Duh....afadhali unarudi.......Tuletee zawadi.....Huku si hali mbaya kaka.......Si unakuja nazo??? I mean USD????? Kama vp nifanyie ka laptop wangu unipunguzie ghadhabu za kubanana cafe,,,,,,,,,

Hope mpk hapo ushajua Bongo ipo vp......

Huwezi kwepa MIZINGA...

KARIBU
 
wanajamii habari zenu
jamani naomba kuwauliza kuhusu cost of living sasahivi hapo bongo,mimi nipo state natarijia kuja hapo kukaa kwa muda wa miezi 4.
bei ya vyakula kama mchele ,maharage,vitunguu,mbatata n.k ni kisai gani
vinwaji kama bia na soda kiasi gani?
petrol kwa litre kiasi gani
nyama na kuku kilo kiasi gani
mobile phone rate

pamoja na gharama nyengine muhimu ambazo nimesahau kuzitaja.

Maisha Bongo ni ya kawaida tu Broda, si unaona tunaishi na tunakomaa?...Kimsingi ni kwamba kama percent kubwa ya wabongo wanaishi chini ya 1$ kwa siku, wewe utashindwa?..Ni kweli kuna vitu vya gharama, kuna viwanja vya starehe vya ghali, lakini kwa mtu aina yako huwezi shindwa bana, we njoo..nadhani huku ni kwenu!
 
We come tu usiogope kama umeweza kuishi ng'ambo utashindwa bongo tena kwa miezi minne tu huku ukichacha kama una ndugu ama marafiki utakula tu. kuhusu bia na soda bei zinatofautiana kuna za ki Mlimani City, ki Rose Garden, Break Point na hata za Maryland wewe ni kupima nguvu yako ya kiuchumi.
 
Tembelea tovuti hii labda utapata msaada www.nbs.go.tz Lakini wewe njoo tu bongo na kiasi ulichonacho - kama kitaisha siutapunguza muda wa kukaa bongo, badala ya miezi yako 4 utakaa hata wiki 2. Pia kama unatumia visa au kadi za benki za namna hii hakuna shida kwani ukipungukiwa unavuta tu. Globalisation phase III imeifanya bongo kuwa kama huko USA, hivyo wewe njoo tu. Kama unafikia hotel kuna za manzese za bei chini na zile kama 5 star (zina websites). Hivi toka uondoke huku bongo ndio unarudi kwa mara ya kwanza?
 
wanajamii habari zenu
jamani naomba kuwauliza kuhusu cost of living sasahivi hapo bongo,mimi nipo state natarijia kuja hapo kukaa kwa muda wa miezi 4.
bei ya vyakula kama mchele ,maharage,vitunguu,mbatata n.k ni kisai gani
vinwaji kama bia na soda kiasi gani?
petrol kwa litre kiasi gani
nyama na kuku kilo kiasi gani
mobile phone rate

pamoja na gharama nyengine muhimu ambazo nimesahau kuzitaja.

Kwani ukija unatafuta nyumba ya kupanga kwa miezi hiyo minne ..

Life Bongo ndo kama ulivyoliacha hakuna mabadiliko zaidi ya mfumuko wa bei kuendelea kuongezeka
 
Karibu, kwani unakuja kwa mara ya kwanza? au? kama ni nyumbani una haja ya kuuliza bei , kwa maana Pamoja na ukali wa maisha Bongo bado tu wakarimu, ukitaka kufikia kwa mjomba sawa, au la kuna full furnished apartments kwa bei tofauti tofauti, lakini pia Guest za uswahilini ni nyingi sana, lakini zinataka uwe macho unaweza kuibiwa Vijisenti vyako, Kama una Visa Card ndo usiseme, Pia usiogope bei ya simu TIGO wako pia sana tu.
 
Kama umeweza kuishi kwa huyo mjaluo Obama utashindwa kuishi Bongo? We nenda tu maisha yaleyale tangu uhuru mabadiliko ni kidogo sana. Sema tu gap kati ya matajiri na masikini inazidi kuongezeka!
 
duuuh...yani mzee umekaa huko mpaka hujui hata ndugu zako tunaishije?...anyway...njoo na kama dola za kimarekani 500 kwa siku maisha yanaenda fresh tu...maana hata mie ndio nazotumia kila siku...ukitaka mchanganua sema nikupatie...kwa miezi 4 likely siku 120 X500= usd 60,000.. ila ukitaka ku-save au kubana matumizi itabidi tukuonyeshe maeneo ambayo hasheem thabit alikuwa anajificha kukwepa gharama za u-supa staa wake....

Pia mkuu ukija na hilo range rover lako sport utakuwa umepunguza gharama za kutumia haya magari ya avis...ila ujuee mafuta yetu aka gasoline ime-chakachuliwa mbayaaaa...itaua engine ya gari lako...sikushauri kabsaa upande daladala...ni bora upande bajaj na bodaboda...ila ajali kibao mzee....hope pia hutopenda kukaa manzese ila kuna hotel kali kuliko hiyo kempinski....unaulizia pia bei ya mchele..kwani utakuja na wife apike?...ujue umeme hakuna na hotel hawaruhusu kujipikilisha vyumbani utawaunguzia jengo lao...usije na wife bana..utawanyima shavu dada zetu ...hao sikuhizi goli moja dola 100...sema wapo hata wa tshs 200 mitaa ya sewa buguruni pale...anyway...kuna sheraton out..msosi plate ya wali kuku kitu cha tshs 3000, soda tshs 500, ndizi mbivu tshs 200, maji yapo hata ya viroba tshs 100...

KAKA WEE NJOO TU BANAAA...washkaji zako pia si unajua tumechoka...so kila jioni wewe ndio unakuwa pedeshee wetu full kuzungusha mi-bia pale mliman city....ohhh..kipo kijiwe kingine mitaa ya city centre pale gorofani kinaitwa sijui savana au...nimesahau sikuhisi kule huwa hata siendagi tena
 
Kwani ukija unatafuta nyumba ya kupanga kwa miezi hiyo minne ..

Life Bongo ndo kama ulivyoliacha hakuna mabadiliko zaidi ya mfumuko wa bei kuendelea kuongezeka

ndio nikija natafuta nyumba ya kupanga ,sitaki kukaa kwa ndugu zangu kwasababu mimi very independent.
naona jamani badala ya kunijibu maswali yangu mnanishambulia na kunirejeshea maswali mimi instead of giving me the idea hiyo cost of living .
sababu ya kuuliza hivyo kwasababu mimi ni mtu wa budget sasa nataka kujua nichukue kiasi gani ili nipate kuwasaidia ndugu zangu pamoja na expenditure zangu mwenyewe.kuna mtu kaniambia nichukua 500 dollar lakini nahisi haitatosha kwa miezi 4 maybe one month is enouph.
nawasikia watu kwamba maisha ni expensive siku hizi huko.
 
wanajamii habari zenu
jamani naomba kuwauliza kuhusu cost of living sasahivi hapo bongo,mimi nipo state natarijia kuja hapo kukaa kwa muda wa miezi 4.
bei ya vyakula kama mchele ,maharage,vitunguu,mbatata n.k ni kisai gani
vinwaji kama bia na soda kiasi gani?
petrol kwa litre kiasi gani
nyama na kuku kilo kiasi gani
mobile phone rate

pamoja na gharama nyengine muhimu ambazo nimesahau kuzitaja.

wabongo kama kawaida badala ya kukujibu wanaanza longolongo,jamaa anakuja anakaa miezi 4 anataka kujua aje na kiasi gani kwa muda huo,mwambieni vitu vya kueleweka sio we njoo tu maisha poa tu........
 
duuuh...yani mzee umekaa huko mpaka hujui hata ndugu zako tunaishije?...anyway...njoo na kama dola za kimarekani 500 kwa siku maisha yanaenda fresh tu...maana hata mie ndio nazotumia kila siku...ukitaka mchanganua sema nikupatie...kwa miezi 4 likely siku 120 X500= usd 60,000.. ila ukitaka ku-save au kubana matumizi itabidi tukuonyeshe maeneo ambayo hasheem thabit alikuwa anajificha kukwepa gharama za u-supa staa wake....

Pia mkuu ukija na hilo range rover lako sport utakuwa umepunguza gharama za kutumia haya magari ya avis...ila ujuee mafuta yetu aka gasoline ime-chakachuliwa mbayaaaa...itaua engine ya gari lako...sikushauri kabsaa upande daladala...ni bora upande bajaj na bodaboda...ila ajali kibao mzee....hope pia hutopenda kukaa manzese ila kuna hotel kali kuliko hiyo kempinski....unaulizia pia bei ya mchele..kwani utakuja na wife apike?...ujue umeme hakuna na hotel hawaruhusu kujipikilisha vyumbani utawaunguzia jengo lao...usije na wife bana..utawanyima shavu dada zetu ...hao sikuhizi goli moja dola 100...sema wapo hata wa tshs 200 mitaa ya sewa buguruni pale...anyway...kuna sheraton out..msosi plate ya wali kuku kitu cha tshs 3000, soda tshs 500, ndizi mbivu tshs 200, maji yapo hata ya viroba tshs 100...

KAKA WEE NJOO TU BANAAA...washkaji zako pia si unajua tumechoka...so kila jioni wewe ndio unakuwa pedeshee wetu full kuzungusha mi-bia pale mliman city....ohhh..kipo kijiwe kingine mitaa ya city centre pale gorofani kinaitwa sijui savana au...nimesahau sikuhisi kule huwa hata siendagi tena

duh wewe sasa unataka asije kabisa..........
 
Kuna apartment hadi za dola 180 kwa mwezi zidisha mwenyewe mara miezi 4......gharama nyingine ni kama Tsh 150,000/= kwa siku kama hutaki makuu saana hivyo andaa kama USD 3000/=. Za kuwagawia ndugu zako zawadi na asante kwangu kwa kukupatia mchanganuo huu utajua mwenyewe. USD 1 ni sawa na tsh 1,400/= hivi.... I hope nimekusaidia.
 
Jamani wale wataala wa bajeti msaidieni si vibaya kuwa kuplan kila kitu ...

Mie nashindwa pa kuanzia ..Nikianza na sukari mie napenda chai nadhani wakatu unaondoka uliacha kili sh 500 sasa ni 2000...
Nyama sasa nadhani kilo 4000-5000 kwa kg
Mchele huu kwa vile unapanda na kushuka nashindwa kusema
endeleeeni
 
sema unakujaje utasaidiwa zaidi

unakuja na familia yako
utahitaji nyumba ya vyumba vingapi na maeneo gani
utapenda kukodisha usafiri au haumind kupanda basi/ pia kuna bajaji which is very cheap
mji gani unataka kufikia maana yake hata mwanza ni babu kubwa siku hizi
je wewe unapenda ku socialize kiani gani 1. billicanas/ au beach/ au bar/ kwenda sehemu kama znz/ wewe ni mtu wa kula starehe sana au wastani

ukijieleza zaidi utapewa ushauri mzuri zaidi
utani na matusi visikukimbize

bia 1400 kama ukinunua na kwenda kunywea nyumbani otherwise billicanas ni 5000
soda 500 sehemu zingine wana bei zao
nyama ukinunua kwenye butcher 4500
kuku ni 7000
mchele ukienda kununua gunia sokoni utapata cheap zaidi
petrol 1650 per litre
simu tigo thumni tu
ukitaka kuenjoy miezi 4 njoo na 8000 usd
 
ndio nikija natafuta nyumba ya kupanga ,sitaki kukaa kwa ndugu zangu kwasababu mimi very independent.
naona jamani badala ya kunijibu maswali yangu mnanishambulia na kunirejeshea maswali mimi instead of giving me the idea hiyo cost of living .
sababu ya kuuliza hivyo kwasababu mimi ni mtu wa budget sasa nataka kujua nichukue kiasi gani ili nipate kuwasaidia ndugu zangu pamoja na expenditure zangu mwenyewe.kuna mtu kaniambia nichukua 500 dollar lakini nahisi haitatosha kwa miezi 4 maybe one month is enouph.
nawasikia watu kwamba maisha ni expensive siku hizi huko.
duu mkuu hiyo kwa miezi minne inatosha bambuuuuucha tu.
 
Back
Top Bottom