stringerbell
Member
- Feb 19, 2010
- 86
- 0
wanajamii habari zenu
jamani naomba kuwauliza kuhusu cost of living sasahivi hapo bongo,mimi nipo state natarijia kuja hapo kukaa kwa muda wa miezi 4.
bei ya vyakula kama mchele ,maharage,vitunguu,mbatata n.k ni kisai gani
vinwaji kama bia na soda kiasi gani?
petrol kwa litre kiasi gani
nyama na kuku kilo kiasi gani
mobile phone rate
pamoja na gharama nyengine muhimu ambazo nimesahau kuzitaja.
jamani naomba kuwauliza kuhusu cost of living sasahivi hapo bongo,mimi nipo state natarijia kuja hapo kukaa kwa muda wa miezi 4.
bei ya vyakula kama mchele ,maharage,vitunguu,mbatata n.k ni kisai gani
vinwaji kama bia na soda kiasi gani?
petrol kwa litre kiasi gani
nyama na kuku kilo kiasi gani
mobile phone rate
pamoja na gharama nyengine muhimu ambazo nimesahau kuzitaja.