mwaswast
JF-Expert Member
- May 12, 2014
- 12,780
- 6,460
Time is money bruh! wacha kutumia kichwa Kama kabati ya meno.Escalation cost kwenye Sgr_tz ndiyo zipi hizo ikiwa mradi umechelewa kwa kuwa mkandarasi kashindwa kuendelea na ujenzi kwa sababu ya mvua? I think something is wrong with your analysing ability. Ushaambiwa kuna wakati certificates za contractor zilichelewa kuwa honoured!
It's very annoying when you see someone doing whatever they can to expose their stupidity.
Sent using Jamii Forums mobile app