Coronavirus: Tanzania bila lockdown tutakufa tuishe

cutelove
Lock down isn't the best solution kwetu Bongo
Wasafari kutoka mkoa mmoja kwenda Mwingine Wapimwe kwenye vituo vyao vya Mabasi Sana Sana Dar es Salama, Arusha na Moshi
Watu kila Leo wanapeleka ugonjwa vijijini huko
Leo yenyewe katangazwa Mmoja Mwanza alitokea Dsm huyu humo Safarini kaambukiza Wangapi ??

Wazo zuri , ila shida tuliyonayo kipimo tunacho kimoja tu hadi maabara ya Taifa .


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hayo maelezo yako sawa kabisa, lakini si aplicable kwa jamii ya watanzania.
Unasema mtu mmoja atatoka kwenda kununua mahitaji, je huyo mtu atatumia pesa gani wakati tunafahamu fika kuwa watanzania wengi wanapata pesa ya kula kwa kutoka, yaani akafanye kazi ndipo apate hiyo pesa anunue chakula cha siku hiyo na labda kesho yake, sasa kuna lockdown kwa maana ya kuwa shughuli nyingi za uzalishaji zitafungwa hivyo watu watakuwa hawafanyi kazi. Je, serikali yetu ina uwezo wa kutoa pesa kwa kila kaya kwa nchi zima ili huyo mtu mmoja atoke kwenda kununua chakula?

Lockdown sio kwamba kila mtu atabaki ndani,ila kupunguza maambukizi wale ambao is necessary kutoka kama wauguzi then itabidi watoke,kuna kundi la watu tutawapoteza ili kulinda WENGI ... hii ndio kanuni behind lockdown, again lockdown ni kipindi tuu... ambacho serikali husika kabla ya kuimpose wanaweigh the risks and everything....vyote vinakua calculated... either tupoteze watu 1000 kwa njaa ama tupoteze 10,000 kwa corona. Nyie mnaosema sijui mahitaji inabidi mfanye kazi..mtashindia uji pale utakapoona familia yako inapukutika kama majani. New York ma Mogul yamejaaaaaaaaaaaa….naona mna underestimate corona eeh..
 
Habari njema kwa majiji ya Roma, Madrid, New York, taarifa za leo zimeonyesha maambukizi na vifo kutokana na Covid 19 umepungua.

Na hii imetokana na lockdown katika majiji hayo pia na maeneo mbalimbali ya nchi hizo Italia, Spain na USA, hata kule Wuhan bila lockdown corona isingeisha.

Kuna kauli zinatumika na viongozi wa Tanzania kuwa hawawezi kutumia mbinu za mataifa yaliyoendelea kudhibiti Corona kwa kuwa Watanzania wengi ni masikini.

Na kauli hii inaungwa mkono na viongozi wa serikali, chama tawala na upinzani lakini.

Huko Uturuki Rais wa nchi hiyo alisema wananchi wachape kazi lakini kilichoripotiwa leo na madaktari wakinukuliwa na vyombo vya habari ni kuwa maambukizi katika taifa hilo yanaenda kwa kasi zaidi ilivyokuwa China, Italy, Spain na USA, yaani kiwango cha maambukizi huko Uturuki kinatisha.

Kule Brazil hivyo hivyo, tukija hapa Bongo unaambiwa lockdown haitawezekana, hebu tupeni mbinu mbadala ambayo mnafikiria kuwa inaweza kuzuia maambukizi, maana nahisi wiki mbili zijazo tutakuwa tunaongea lugha moja.

Kula USA mpaka chui ameambukizwa korona, huku kwetu mbwa, paka na ng'ombe wasipo ambukizwa tumuombe Mungu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu kila siku mnaongelea wiki 2, mbona hamsemi hizo wiki mbili mnaanza kuzihesabu kuanzia lini?
 
cutelove,
Inaonekana kuna basha la Kiarabu limekuahidi likikufungia sehemu likutafune weeee kwa mwezi mzima litakupa ujajiri ndo maana unatafuta lockdown kwa udi na uvumba, ebu kwenda zako uko ukafie mbali mwenyewe.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mipaka haijafungwa.... Wageni wanaingia na kutoka..

Kuna mambo ya ajabu sana nchi hii...
 
lockdown sio kwamba kila mtu atabaki ndani,ila kupunguza maambukizi wale ambao is necessary kutoka kama wauguzi then itabidi watoke,kuna kundi la watu tutawapoteza ili kulinda WENGI ..hii ndio kanuni behind lockdown, again lockdown ni kipindi tuu..ambacho serikali husika kabla ya kuimpose wanaweigh the risks and everything....vyote vinakua calculated..either tupoteze watu 1000 kwa njaa ama tupoteze 10,000 kwa corona. Nyie mnaosema sijui mahitaji inabidi mfanye kazi..mtashindia uji pale utakapoona familia yako inapukutika kama majani. New York ma Mogul yamejaaaaaaaaaaaa….naona mna underestimate corona eeh..

Kumbe upo New York.?
Sasa sikia dada Mange.
Lifestyle ya huko ulipo na hapa kwetu Tandale ni vitu viwili tofauti.
Kwanza tuna ventilators 150 nchi nzima. Na hatupimi watu. Kwa hio hatujui watu wangapi wameathirika, kwa hio usiandike kwa mihemko, nenda taratibu.
Je tuna pima watu?
Je mipaka tumeifunga?
Je watu wanaweka karantini?
Kama wanawekwa je?
Yule aliyekamatiwa Mwanza alipitaje?
Je yule aliyekamatiwa Iringa alipitaje?

Ukishapata majibu ya hayo yote. Jua kuwa NO ONE is serious.

Nakushauri fungua friji lako. Chukua maji ya kunywa . Kunywa.
watanzania tuache na ugonjwa wetu.

Na kitu kingine mwakalie Ummy Mwalimu. Akishaona Zanzibar wametangaza na yeye anakuja na Idadi yake ya tengeneza. Ya uongo ili mradi tu.

Kwa maelezo yangu nadhani umeshaona tatizo liko wapi. Na je bado unahitaji Lock down?
 
Akili za walokole...

Inabidi huyo Mungu akupore hizo akili maana naona unataka kuishi kama Mbuzi...
Usipotengua iyo kauli yako ya tutakufa sote tuishe.

Utaumbuka
Nani kakwambia Lockdown ndo imeshikilia pumzi yako.?

Kuna Mungu katika Israel
 
Habari njema kwa majiji ya Roma, Madrid, New York, taarifa za leo zimeonyesha maambukizi na vifo kutokana na Covid 19 umepungua.

Na hii imetokana na lockdown katika majiji hayo pia na maeneo mbalimbali ya nchi hizo Italia, Spain na USA, hata kule Wuhan bila lockdown corona isingeisha.

Kuna kauli zinatumika na viongozi wa Tanzania kuwa hawawezi kutumia mbinu za mataifa yaliyoendelea kudhibiti Corona kwa kuwa Watanzania wengi ni masikini.

Na kauli hii inaungwa mkono na viongozi wa serikali, chama tawala na upinzani lakini.

Huko Uturuki Rais wa nchi hiyo alisema wananchi wachape kazi lakini kilichoripotiwa leo na madaktari wakinukuliwa na vyombo vya habari ni kuwa maambukizi katika taifa hilo yanaenda kwa kasi zaidi ilivyokuwa China, Italy, Spain na USA, yaani kiwango cha maambukizi huko Uturuki kinatisha.

Kule Brazil hivyo hivyo, tukija hapa Bongo unaambiwa lockdown haitawezekana, hebu tupeni mbinu mbadala ambayo mnafikiria kuwa inaweza kuzuia maambukizi, maana nahisi wiki mbili zijazo tutakuwa tunaongea lugha moja.

Kula USA mpaka chui ameambukizwa korona, huku kwetu mbwa, paka na ng'ombe wasipo ambukizwa tumuombe Mungu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, lockdown your family then you are safe! Hamna anayekukataza.
 
Hivi haya Mawazo waTz mnayatoa wapi?
Kama watu tu bila lockdown watu wanalala na njaa uje ufungie watu ndani kwa Uchumi upi?.. hayo magonjwa ndo yameanza leo.. mbna TB inatembea na wateule kila Mwaka, Malaria inakamua na neti zipo.. homa ya ini vilevile.. Tena takwimu za kutisha kabisa.. mbna hatujaskia nchi ikifungwa. Sio kila kitu Ni cha kuiga iga hovyo.. utaskia ooh wagonjwa wanaongezeka.. we kwenu Nani kaugua? Cha msingi tufuate Maagizo ya Wataalamu huku shughuli za kiuchumi zinaendelea, unataka Watu waje kula kwenu?
Tatizo ni mitandao ya kijamii. Mtu kajifungia anasoma takwimu za italy na us anazitafsiri hivyo hivyo kuwa ndio za tz.
 
Back
Top Bottom