Hallo to you all great thinkers, hope cool. Vp kuna mtu an information za kuitwa usaili wa afisa ushirika daraja la pili? Zilikuwa post 45. My self cjaona kama utumishi wameita but kuna mtu mmoja kanipa info ambazo nahic co kwel eti zile post wanatuma tu barua za kuitwa kazini bila interview but i dont think so! Alafu huu mtindo wa kuita watu 2000 post hata hazifiki 10 unanikera sana!!!! What for???