Constantine Oswald Millinga: Mmoja wa waasisi 17 wa TANU mwaka 1954

Hotuba ya Samora Machel kuwa hakuna gredi ya mkoloni, wala hatuwezi kujisifia kuwa sisi ni zao la mkoloni mwarabu hivyo ni bora kuliko aliyetawaliwa na mreno, vivyo hivyo hatuwezi kujipiga vifua tulitawali na mjerumani hivyo tu wabora kuliko waliotawaliwa na mwingereza

Ukoloni ni ukoloni tu hauna uafadhali kuwa tujibainishe na wa fulani kwa kuwa tulitupa imani zetu za jadi kijumbatia dini ngeni iliyokuja kwa jahazi mwanzo kabla ya nyingine ikiyofika kwa merikebu .

Samora Machel : Ukoloni wa kiFikra



Katika hotuba yake motomoto kuhusu kutawaliwa, alihoji vipi mwafrika aliyetawaliwa na mfaransa akajiona bora kuliko mwingine kwa kuwa Ufaransa wana tamaduni bora zaidi ya uandishi wa mistari ya mashairi ya mapendo kwa umahiri wa kisomi.


Samoro Machel anazidi kuwaza hata wale waliotawaliwa na muingereza wajiona wao ni bora kwa vile Uingereza ilitawala nchi nyingi zaidi na inasemekana ni wazungu 'wastaarabu' zaidi.

Samora Machel anatuasa ingawa Portugal ni nchi masikini zaidi ktk ulaya lakini ni nchi iliyoendekeza ukoloni kama Ufaransa, Uingereza na Ureno / Portugal na sifa za nchi zote hizo za ulaya ni kuwa ziliendekeza ukoloni.

Samora Machel anapigia mstari neno ukoloni na kuwa ukoloni ni unyama hauna utu hivyo kujisifia wewe ni zao la ukoloni huu au ule wenye hadhi ya juu ni kukosa fikra sahihi.

Hivyo maneno ya Samora Machel anasisitiza tuamke na kuwa mapambano lazima yaendelee (2022) dhidi ya ukabila, ujinga, maradhi, njaa, ushirikina na mawazo potofu ya kukumbatia ukoloni wa aina yoyote.

Anamalizia kuwa ukoloni wowote hauna usafi wa kujivunia kwani ni Ukoloni unaogandamiza jamii zingine na kuzigawanisha.

Bagamoyo,
Nakushukuru sana kuweka historia ya Martin Kayamba.

Kwangu mimi imenikumbusha mengi hasa baada ya kusoma wachangiaji wengine wakinishutumu kuwa sina nilijualo kuhusu historia hiyo kama ilivyo katika ''Ten Africans.''

Nimeeleza niyajuayo kuhusu kitabu hicho na nikaweka na kitabu kingine cha nyongeza, ''Modern Tanzanians.''

Kwa kurahisisha naweka kipande kutoka ,''Ten Africans,'' kuhusu Chief Makwaya wa Siha na Sir Ali bin Salim Liwali wa Mombasa kisha nitasherehesha In Shaa Allah:

''Chief Makwaya and Makoni are staunch Mohammedans
and were very particular about food.

Mr. Mitchell arranged with the District Commissioner at Mombasa for Chief Makwaya to consult with Sir Ali bin Salim, K.B.E., C.M.G., of Mombasa in order to remove the scruple from his mind about food.

On 51st March we arrived at Mombasa; the first thing we did was to drive by taxi to the District Commissioner to see Sir Ali bin Salim. The District Commissioner took us to Sir Ali bin Salim, who kindly invited us into his office.

After the matter had been explained to him, he told Chief Makwaya that Mohammedans are not forbidden by their religion to eat food cooked by Christians ormeat of animals killed by Christians or Jews, because Christians have the Gospel (Injili) and Jews have the Deuteronomy (Torati). Both these books come from 'God.

He had been to England himself for one year and during that
period ate the same food which Europeans ate.

The only meat which a Mohammedan is forbidden to eat is pork,
and he strongly warned Chief Makwaya that they should
not touch it.

In confirmation of what he had said he was willing to come on board S.S. Francisco Crispi to lunch with us.

We were very pleased to invite him to lunch.
At 12 noon he arrived on board and had lunch with us.

At 4p.m. he kindly sent his car to take us round Mombasa Island, and we enjoyed the trip very much.''

Chief Makwaya jina lake kamili ni kama lilivyo hapo chini kwenye picha yake.

Walipokuwa safarini kwenda Uingereza yeye alikuwa na hofu na uhalali wa chakula ndani ya meli.

Walipofika Mombasa ikabidi aonane na Liwali wa Mombasa Sir Ali bin Salim apate fatwa.

Sir Ali bin Salim alimtoa hofu.

1710137192770.jpeg


1710132690519.png

Chief Makwaya ndiye aliyeuingiza Uislam Usukumani kwa kuwaleta walimu kutoka Zanzibar.

Angalia mavazi yake.
Bahati mbaya kafariki akiwa na umri mdogo wa miaka 40.

Mtoto wake ambae alikuja kujulikana kama Chief David Kidaha Makwaia akarithi kiti cha baba yake.

Chief Kidaha alibadili dini akatoka Uislam na kuwa Mkristo wa Kanisa Katoliki.
Akabadili jina lake la Ahmed na kuchukua jina la David.

1710133178704.png

Chief David Kidaha Makwaia​

Mimi nimebahatika kumuona Chief Kidaha Makwaia mwaka wa 1967/68.

Mwanae ambae ndiye chief wa sasa wa Siha, Chief Edward Jonathan Makwaia tukisoma darasa moja St. Joseph's Convent Dar es Salaam yeye ndiye alinichukua kwenda kumsalimia baba yake.

Wakati huo Chief Kidaha alikuwa amehamia Kenya.

Angalia picha hiyo hapo chini huyo katikati ni Edward Makwaia, wa kwanza kulia ni Iddi Mvule na kushoto ni Mwandishi.

Picha hii tulipiga Kilimanjaro Hotel miaka hiyo tuko shule.

1710133643068.png

Chief Kidaha Makwaia ndiye Abdul Sykes akimtaka ajiunge na TAA wamchague President wa TAA na kisha waunde TANU na Chief Kidaha aongoze harakati za kudai uhuru wa Tanganyika.

Kisa hiki nimekieleza hapa mara nyiingi.

Naamini wengi mnakifahamu.

Hamza Mwapachu yeye mtu wake alikuwa Julius Nyerere.
Waingereza wana msemo, ''The rest is history.''

Historia hii mimi nimeipokea kutoka kwa Mama Daisy, mke wa Abdul Sykes.

Ni kisa cha kusisimua sana.

Angalia picha nyingine hapo chini Kleist Abdul Sykes na Edward Kidaha Makwaia.

Kulia ni Edward Makwaia na kushoto ni Kleist Sykes nyumbani kwa Kleist Kawe Beach.

Baba zao walikuwa marafiki na watoto wao halikadhalika wakawa marafiki.

Ndipo husema mara kwa mara kuwa mimi ni sehemu ya historia hii.

Sisi ni sehemu ya historia hii.

1710134386623.png
 
Bagamoyo,
Nakushukuru sana kuweka historia ya Martin Kayamba.

Kwangu mimi imenikumbusha mengi hasa baada ya kusoma wachangiaji wengine wakinishutumu kuwa sina nilijualo kuhusu historia hiyo kama ilivyo katika ''Ten Africans.''

Nimeeleza niyajuayo kuhusu kitabu hicho na nikaweka na kitabu kingine cha nyongeza, ''Modern Tanzanians.''

Kwa kurahisisha naweka kipande kutoka ,''Ten Africans,'' kuhusu Chief Makwaya wa Siha na Sir Ali bin Salim Liwali wa Mombasa kisha nitasherehesha In Shaa Allah:

''Chief Makwaya and Makoni are staunch Mohammedans
and were very particular about food.

Mr. Mitchell arranged with the District Commissioner at Mombasa for Chief Makwaya to consult with Sir Ali bin Salim, K.B.E., C.M.G., of Mombasa in order to remove the scruple from his mind about food.

On 51st March we arrived at Mombasa; the first thing we did was to drive by taxi to the District Commissioner to see Sir Ali bin Salim. The District Commissioner took us to Sir Ali bin Salim, who kindly invited us into his office.

After the matter had been explained to him, he told Chief Makwaya that Mohammedans are not forbidden by their religion to eat food cooked by Christians ormeat of animals killed by Christians or Jews, because Christians have the Gospel (Injili) and Jews have the Deuteronomy (Torati). Both these books come from 'God.

He had been to England himself for one year and during that
period ate the same food which Europeans ate.

The only meat which a Mohammedan is forbidden to eat is pork,
and he strongly warned Chief Makwaya that they should
not touch it.

In confirmation of what he had said he was willing to come on board S.S. Francisco Crispi to lunch with us.

We were very pleased to invite him to lunch.
At 12 noon he arrived on board and had lunch with us.

At 4p.m. he kindly sent his car to take us round Mombasa Island, and we enjoyed the trip very much.''

Chief Makwaya jina lake kamili ni kama lilivyo hapo chini kwenye picha yake.

Walipokuwa safarini kwenda Uingereza yeye alikuwa na hofu na uhalali wa chakula ndani ya meli.

Walipofika Mombasa ikabidi aonane na Liwali wa Mombasa Sir Ali bin Salim apate fatwa.

Sir Ali bin Salim alimtoa hofu.

View attachment 2931063

View attachment 2930992
Chief Makwaya ndiye aliyeuingiza Uislam Usukumani kwa kuwaleta walimu kutoka Zanzibar.

Angalia mavazi yake.
Bahati mbaya kafariki akiwa na umri mdogo wa miaka 40.

Mtoto wake ambae alikuja kujulikana kama Chief David Kidaha Makwaia akarithi kiti cha baba yake.

Chief Kidaha alibadili dini akatoka Uislam na kuwa Mkristo wa Kanisa Katoliki.
Akabadili jina lake la Ahmed na kuchukua jina la David.

View attachment 2931012
Chief David Kidaha Makwaia​

Mimi nimebahatika kumuona Chief Kidaha Makwaia mwaka wa 1967/68.

Mwanae ambae ndiye chief wa sasa wa Siha, Chief Edward Jonathan Makwaia tukisoma darasa moja St. Joseph's Convent Dar es Salaam yeye ndiye alinichukua kwenda kumsalimia baba yake.

Wakati huo Chief Kidaha alikuwa amehamia Kenya.

Angalia picha hiyo hapo chini huyo katikati ni Edward Makwaia, wa kwanza kulia ni Iddi Mvule na kushoto ni Mwandishi.

Picha hii tulipiga Kilimanjaro Hotel miaka hiyo tuko shule.

View attachment 2931022
Chief Kidaha Makwaia ndiye Abdul Sykes akimtaka ajiunge na TAA wamchague President wa TAA na kisha waunde TANU na Chief Kidaha aongoze harakati za kudai uhuru wa Tanganyika.

Kisa hiki nimekieleza hapa mara nyiingi.
Naamini wengi mnakifahamu.

Hamza Mwapachu yeye mtu wake alikuwa Julius Nyerere.
Waingereza wana msemo, ''The rest is history.''

Historia hii mimi nimeipokea kutoka kwa Mama Daisy, mke wa Abdul Sykes.
Ni kisa cha kusisimua sana.

Angalia picha nyingine hapo chini Kleist Abdul Sykes na Edward Kidaha Makwaia.

Kulia ni Edward Makwaia na kushoto ni Kleist Sykes nyumbani kwa Kleist Kawe Beach.

Baba zao walikuwa marafiki na watoto wao halikadhalika wakawa marafiki.
Ndipo husema mara kwa mara kuwa mimi ni sehemu ya historia hii.

Sisi ni sehemu ya historia hii.


Shukrani story ya Martin Kayamba ilikosa picha muhimu za Chifu wa Shinyanga Makwaia, Sir Ali Bin Salim Al Busaidi wa Mombasa na sasa historia inazidi kukaa sawa.
 
Shukrani story ya Martin Kayamba ilikosa picha muhimu za Chifu wa Shinyanga Makwaia, Sir Ali Bin Salim Al Busaidi wa Mombasa na sasa historia inazidi kukaa sawa.
Bagamoyo,
Miaka imekwenda.

Chief Kidaha Makwaia ana historia muhimu sana kati ya machifu wakubwa wa Tanganyika.

Angelitaka angekuwa ndiye Waziri Mkuu wa kwanza Tanganyika.

Huwa najiuliza ingekuwaje historia ya Abdul Sykes kama Chief Kidaha angeingia TAA kisha TANU badala ya Nyerere?

Huwa nilikuwa nawaangalia Kleist na Edward kisha hujichekea mwenyewe moyoni.

Sisi tumekuwa marafiki toka udogo wetu na tunaijua historia ya wazee wetu.

Angalia hiyo picha hapo chini na soma majina utajua kuwa nisemayo ni kweli:

1710174750021.png

Kulia waliosimama: Mohamed Said, Yusuf Zialor, Kleist Sykes, Bubby Bukhari, Abdallah Tambaza.
Kulia waliochutama: Abdul Mtemvu, Wendo Mwapachu na Kaisi.
Picha hii tumepiga nyumbani kwa akina Edward Makwaia, Upanga Road 1968.​
 
Hui..
Lakini wenye kuchapa vitabu hivyo ni wachapaji wakubwa ulimwenguni kama Oxford University Press.

Haiwezekani hawa na wao kama mie wakawa hawana kitu.

Hawa hawachapi mambo ya dini.

Iweje wachape kitabu changu?
Kwa hiyo wachapa vitabu wanajuwa kuliko sisi Watanzania?
 
Kwa hiyo wachapa vitabu wanajuwa kuliko sisi Watanzania?
Hui...
Oxford University Press wana wataalamu wa kila fani uijuayo duniani.

Wachapaji wengine katika nchi zetu wana nafasi ya kuwapata wataalamu waliopo nchini na nchi jirani kwa kila somo.

Nakuambia haya kwa kuwa mimi ni mwandishi nimechapa na Oxford University Press Nairobi na Oxford University Press New York.

Nimechapa na Phoenix Publishers Nairobi na wengine; na nimechapa na wachapaji kadhaa wa hapa nyumbani.

Nakueleza kitu ninachokijua.
 
Hui...
Oxford University Press wana wataalamu wa kila fani uijuayo duniani.

Wachapaji wengine katika nchi zetu wana nafasi ya kuwapata wataalamu waliopo nchini na nchi jirani kwa kila somo.

Nakuambia haya kwa kuwa mimi ni mwandishi nimechapa na Oxford University Press Nairobi na Oxford University Press New York.

Nimechapa na Phoenix Publishers Nairobi na wengine; na nimechapa na wachapaji kadhaa wa hapa nyumbani.

Nakueleza kitu ninachokijua.
Haya Mzee ukiwadanganya wewe kwa vile wanakuamini basi inatosha. Lakini ukweli Watanzania wanaujua kuwa Tanzania ni nchi ya wote: Wapagani, Waislamu na Wakristu.

Japo wewe unachuki na Wakristu lakini huma namna wataemdelea kuwapo sambamba na watanzania wengine.
 
Haya Mzee ukiwadanganya wewe kwa vile wanakuamini basi inatosha. Lakini ukweli Watanzania wanaujua kuwa Tanzania ni nchi ya wote: Wapagani, Waislamu na Wakristu.

Japo wewe unachuki na Wakristu lakini huma namna wataemdelea kuwapo sambamba na watanzania wengine.
Hui...
Kweli Tanzania ni nchi ya wote lakini historia yake katika kukabiliana na ukoloni imejikita kwa watu maalum ambao historia yake mimi nimeitafiti na kuiandika.

Historia ya African Association kwanza kabisa imeandikwa na Kleist Sykes kabla hajafariki mwaka wa 1949.

Katika historia hiyo kaeleza kuwa waasisi wa African Association ni yeye, Cecil Matola, Mzee bin Sudi, Ibrahim Hamisi, Ali Said Mpima, Suleiman Majisu, Zibe Kidasi, Raikes Kusi na Rawson Watts.

Katika hawa hakuna Mpagani.
Waislam wako 6 na Wakristo 3.

Kleist kaeleza sababu ya Waislam kuwa wengi.

Kasema sababu ni kuwa wamishionari wakiwakataza waumini wao kujihusisha na siasa.

Historia ya TANU nimeieleza kupitia Nyaraka za Sykes na hizi nyaraka zipo mpaka leo.

Baada ya kifo cha Kleist 1949 mwanae Abdul akawa Secretary wa TAA halikadhalika akiwa mfadhili pamoja na mdogo wake Ally, Dossa Aziz na John Rupia.

Historia hii hivi sasa ni maarufu.

Abdul Sykes akampokea Nyerere 1952 na TANU ikaundwa 1954.

Hakuna Wapagani wanachama wa TANU wala hawamo katika viongozi.

Tanganyika nchi ya wote lakini waliopambana na ukoloni historia yao ndiyo hii.

Kuwa hii ndiyo historia ya kweli ya Tanganyika na mimi nimeiandika kama ilivyokuwa haina maana imesababishwa na chuki yangu kwa Wakristo.
 
Duh mbona tuliaminishwa TAA & TANU ilikuwa ya Waislam ?.Sasa huyu Mgalatia katokea wapi tena au yule Ustadhi Mohamed Said alimsilimisha maana hata katika kitabu chake cha hustoria ya Kariakoo hajamtia Bwana Millinga kabisa.
acha uchochezi mbona wagalatia walikuwepo kina Mareale,Abel Maranga,John Rupia,Germano Pacha,Kunambi,Kasela Bantu
 
Back
Top Bottom