X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 9,700
- 12,302
- Thread starter
- #61
Sasa wewe nae kamba nyingi yaani mtu ana millioni 15 na asubiri bahati nasibu kuingia USA mbona hiyo hela mtu anaenda bila shida yyte muhimu akidhi vigezo tu.
mimi nimemshauri kulingana na uelewa wangu mdogo... ingekuwa vyema na wewe ukamshauri kulingana na uelewa wako...!