Crucifix
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 1,651
- 588
Ugonjwa huu umezuka tena na huko Bangladesh kijana wa miaka 29 amukufa jana na mwanamama mmoja amefariki huko Oman. Ulaya wameanza kupiga marufuku uagizaji nyama kutoka Afrika na Asia. Nimesikia serikali ya Tanzania pia imetahadharisha watu kula nyama. Jamani chukueni tahadhari na fuatilieni zaidi habari hii kwa usalama wenu na wale muwapendao.