Kidzogolae
Senior Member
- Apr 20, 2008
- 133
- 2
Jamaniee, mimi nachukia sana mafisadi, ila, kuna ishu moja hivi kila siku najiuliza, kipindi Lowasa yupo, pamoja na kwamba wanasema ni fisadi, lakini jamaa alikuwa anapiga mzigo ile mbaya, na nchi ilikuwa inachachamaa. Najua wengi watanipinga hapa, lakini wapinge wakitoa data halisi. Na kama hii thread ataisoma waziri Pinda, basi na iwe challenge kwake.
Lowassa alikuwa anahamasisha sana shule, shule zilijengwa ile mbaya, watu walikuwa hawalali au kuzubaa manake alikuwa na dictatorship akikukuta umeboronga anakuondoa kazi hapohapo. Shule zimejengwa kile mahali huko vijijini. Lakini toka huyu jamaa aingie, naona mambo yake ya polepole tu, anaongea zaidi ya kutenda ati. halafu ni mpole nashindwa kumdescribe you know.
Sio kwamba namchukia huyu Pinda au namfagilia Lowassa kutokana na madhambi yake, nahisi hii inatakiwa iwe challenge ya pinda. Semeni wenyewe, pinda amefanya nini hadi sasa ivi, mambo yake ni kuitetea selikali tu halafu anaenda kulala home kimyaa, si mtu revolutionary kabisa. Wanaomtetea walete zao, na ikumbukwe kuwa, kwenye post zangu za mwanzo, mimi ndo nilikuwa mtu wa kwanzakwanza kumponda Lowassa, so, sitaki watu waseme nimetumwa na Lowassa hapa, naongea kitu ambacho nakiona. Hivi hapa TZ tunahitaji kiaongozi gani sana, mbona wote hawaleti matumaini?
Shule zimelala kabisa huko vijijini, toka Lowassa aanzishe akatoka, zikalala toka siku hiyo, mambo mengi yaliyokuwa yanaenda moto yamelala fofofo toka jamaa aachie ngazi. Yeye mwenyewe alikua kazi ilivyokuwa inapigwa ndo maana alikuwa na confidence ya kusema"naachia ngazi" because alijua watz tunamhitaji. We don't need him any more, lakini tunataka moto kama wakwake tafadhali. Shule hazina waalimu, waalimu wengi wanapanga kugoma. Pinda hafanyi chochote kile.
Naombeni mnilinde wajameni....
Lowassa alikuwa anahamasisha sana shule, shule zilijengwa ile mbaya, watu walikuwa hawalali au kuzubaa manake alikuwa na dictatorship akikukuta umeboronga anakuondoa kazi hapohapo. Shule zimejengwa kile mahali huko vijijini. Lakini toka huyu jamaa aingie, naona mambo yake ya polepole tu, anaongea zaidi ya kutenda ati. halafu ni mpole nashindwa kumdescribe you know.
Sio kwamba namchukia huyu Pinda au namfagilia Lowassa kutokana na madhambi yake, nahisi hii inatakiwa iwe challenge ya pinda. Semeni wenyewe, pinda amefanya nini hadi sasa ivi, mambo yake ni kuitetea selikali tu halafu anaenda kulala home kimyaa, si mtu revolutionary kabisa. Wanaomtetea walete zao, na ikumbukwe kuwa, kwenye post zangu za mwanzo, mimi ndo nilikuwa mtu wa kwanzakwanza kumponda Lowassa, so, sitaki watu waseme nimetumwa na Lowassa hapa, naongea kitu ambacho nakiona. Hivi hapa TZ tunahitaji kiaongozi gani sana, mbona wote hawaleti matumaini?
Shule zimelala kabisa huko vijijini, toka Lowassa aanzishe akatoka, zikalala toka siku hiyo, mambo mengi yaliyokuwa yanaenda moto yamelala fofofo toka jamaa aachie ngazi. Yeye mwenyewe alikua kazi ilivyokuwa inapigwa ndo maana alikuwa na confidence ya kusema"naachia ngazi" because alijua watz tunamhitaji. We don't need him any more, lakini tunataka moto kama wakwake tafadhali. Shule hazina waalimu, waalimu wengi wanapanga kugoma. Pinda hafanyi chochote kile.
Naombeni mnilinde wajameni....