Comparing: Lowassa vs Pinda

LOWASSA ni sepp blatta na PINDA ni tenga! hakuna ulinganifu. upupa wa lowasa ni bora kuliko kutokufanya kitu kbs. pinda hana maamuzi....

Tatizo letu ni kupima utendaji kwa maneno na matendo ya jukwaani. Huyu bwana anayezungumziwa hapa hatakiwi kujadiliwa kabisa kwa jinsi alivyotumia maneno yake na kukaripia kwake ili kuwadanganya wananchi na matokeo yake ni wizi wa kutisha. Hakuna chochote kinachoweza kunasabishwa na Lowassa katika utendaji na kikawa kimefanikiwa. Hata hizo shule za kata ni initiative iliyosimamiwa na Pinda alipokuwa Tamisemi.

Hivi ule mradi wa ng'ombe aliouasisi alipokuwa waziri wa mifugo na kuwajengesha watu mabanda na kuwaahidi kuwakopesha ng'ombe ili walipe ng'ombe umeyeyuka kama mvua zake za Thailand? Hakuna aliyepata ng'ombe hata mmoja.
 
LOWASSA ni sepp blatta na PINDA ni tenga! hakuna ulinganifu. upupa wa lowasa ni bora kuliko kutokufanya kitu kbs. pinda hana maamuzi....

Eti mzee, afadhali kuwa na fisadi anayejenga nchi, yule mwingine sijui alienda wapi akaiba richmung, lakini akaileta Nyumbani.
 
NI sawa swa kulinganisha mvivu na mwizi . unauliza nani anafaa . Katika wenye mapungufu hayo kama ni lazima nichague mmoja bora nichague mvivu kuliko mwizi.


Katika analogy yangu hiyo Pinda ni sawa na "mvivu" na Lowasa ni sawa na "mwizi"


No matter awe na sifa gani sijui uchapa kazi mwizi ni mwizi tu . mtu akiwa mdokozi haachi hata apewe U PM au Urais bado haamini kuwa atapatiwa huduma mpaka kifo .Bado anakula dili
.

Yaani kifupi no matter uwe mchapa kazi vipi kama ni mlafi ni kazi bure
. Sifa zote zinakuwa deleted mpaka kwenye recycle bin
 
Mkuu womanizer,
inaonekana unapenda sana vya bure brother.

Hivi ndugu yangu huna nauli ya kukufikisha Mirembe tukusaidie? Hoja hapa ni uwezo wa uongozi katika nafasi ya waziri mkuu na siyo takrima zao kwako. Kwanza huoni aibu kupiga mizinga, mtu mzima tena mtoto wa kiume!
 
NI sawa swa kulinganisha mvivu na mwizi . unauliza nani anafaa . Katika wenye mapungufu hayo kama ni lazima nichague mmoja bora nichague mvivu kuliko mwizi.


Katika analogy yangu hiyo Pinda ni sawa na "mvivu" na Lowasa ni sawa na "mwizi"


No matter awe na sifa gani sijui uchapa kazi mwizi ni mwizi tu . mtu akiwa mdokozi haachi hata apewe U PM au Urais bado haamini kuwa atapatiwa huduma mpaka kifo .Bado anakula dili
.

Yaani kifupi no matter uwe mchapa kazi vipi kama ni mlafi ni kazi bure
. Sifa zote zinakuwa deleted mpaka kwenye recycle bin

Mkuu nimekupa senksi. Tunalinganisha mtu anayestahili kulala mchongoma na muadilifu!
 
kama lowassa ni fisadi basi kila mtanzania mwenye ka uwezo ni fisadi ......mi nachojuwa lowassa ni mchapakazi.... Kazi binafsi na za umma.......tatizo la wana jamii hapa wanataka viongozi wawe kama slaa mshahara au posho inakuwa gumzo ......hakuna asie fisadi tanzania kama yupo atuambie....tuanze kuwaelezea kiongozi mmoja baada ya mwingine ccm,cdm,tlp,cuf kama atapona mtu.......ni kuzidiana tu...

Subiri hizo ngonjera zako ukawasimulie wanao tena wadogo labda watakuelewa. Hivi unadhani watu hawana akili! Kamuambie kwamba hiyo bidhaa uliyopewa kuiuza ni kofia ya polisi, haina mnunuzi!
 
Lowassa co fisadi ila ni tajiri! Kujiuzulu ni kwa kuwa 2 kama kiongoz mkuu alikubali kuchukukua msalaba ulosababishwa na uzembe wa waliokuwa chini yake! Hii ni sifa ya kiongoz bora japokuwa kwa Tanzania alitakiwa aendelee kwa kuwa alikuwa mchapakaz na kiukwel m2 mchapakaz ndo anayehtajika kwa taifa linalokua kama Tanzania!
Kiukwel Pinda huwez mcompare na Lowassa! Lowassa ni kiongozi bora tena wa kisasa!
Wa2 wengi wanalalamika Lowasa fisadi afukuzwe lakini mbona viongoz wakuu kama rais wamekaa kimya? Ni kwa kuwa wanaelewa kuwa jamaa co fisadi ni uzush wa watu wasiopenda maendeleo wanaomchafua 2 kwa malengo yao binafsi! Naunga mkono sana Lowassa 4 2015 campaign coz jamaa ni m2 makini sana na atatupigisha positive hatua!
 
Ndugu zanguni kama tukiendelea na Pinda akiwa katika nafasi ya waziri mkuu sidhani kama 2015 tutafika. Ni mdhaifu sana kimaamuzi na mapungufu kibao ambayo sina haja ya kuyaorodhesha hapa kwa uchache mfano jinsi anavyo shughulikia tatizo la madaktari, kulidanganya bunge mambo kadha na mengineyo. Fagio lililo wapitia baadhi ya mawaziri bora na huyu jamaa lingempitia. Amefanya blunder nyingi kimaamuzi na sidhani kama huwa anafikiria kabla ya kutenda. Mtangulizi wake Mh.Lowasa sidhani kama suala hili la madaktari lingempa shida kama tunavyo shuhudia sasa. Aliingilia raisi lakini kutokana na udhaifu wake yakawa yale yale.

Iwapo watanzania wangekubali kusamehe makosa iwapo mkosaji atatubu ni bora wange msamehe Lowasa akarudi kutushikia kiti cha uwaziri mkuu.
 
You know there is a crisis of leadership when citizens are forced to choose between the lesser of two evils.
 
Edward Lowassa naye ni dhaifu wa kutupwa.

Mwongo- Eti waziri mkuu hajui Richmond ni mali ya nani, Mkuu wa shughuli za serikali hajui kitu huo si uongo?
Mwizi - Hawezi kuaminiwa kwa chochote kilicho mali ya serikali, mwizi tangu alipotoka shule akiwa Director wa AICC
Hana Huruma- Anawadanganya wamasi wa Monduli na kujifanya mwenzao wakati yyeye ni Mmeru wa kuja
Manafiki na oppotunist mkubwa- Sasa anarubuni Mashemazi na maaskofu ili wamfuate kuzimu kwa ngawila za wizi. Maaskofu na wachungaji kwa uzinzi wao wa kupenda Fedha na Mungu wamekubali kuinamishwa na kusalimu amri huku wamevaa majoho.
Lowassa hafai hata kuongoza familia yake mwenyewe.
Lowassa ana fedh nyingi. So what??? Hata Mobuto Sese Seko Kuku wa Zabanga na Sani Abacha walikuwa na mabilioni ya Dola siyo vijisenti hivi vya vya kuchaji bill ya umeme vya akina Lowassa.
Je fedha iliwasetiri na kuwapa heshima?
Hapana, Fedha iliwapa fedheha kuu na maumivu mpaka kaburini.

Edward Lowassa naye ni Dhaifu

Neeeeeeext!


Ndugu zanguni kama tukiendelea na Pinda akiwa katika nafasi ya waziri mkuu sidhani kama 2015 tutafika. Ni mdhaifu sana kimaamuzi na mapungufu kibao ambayo sina haja ya kuyaorodhesha hapa kwa uchache mfano jinsi anavyo shughulikia tatizo la madaktari, kulidanganya bunge mambo kadha na mengineyo. Fagio lililo wapitia baadhi ya mawaziri bora na huyu jamaa lingempitia. Amefanya blunder nyingi kimaamuzi na sidhani kama huwa anafikiria kabla ya kutenda. Mtangulizi wake Mh.Lowasa sidhani kama suala hili la madaktari lingempa shida kama tunavyo shuhudia sasa. Aliingilia raisi lakini kutokana na udhaifu wake yakawa yale yale.

Iwapo watanzania wangekubali kusamehe makosa iwapo mkosaji atatubu ni bora wange msamehe Lowasa akarudi kutushikia kiti cha uwaziri mkuu.
 
Mh.Pinda ni zaidi.Hana jazba,msikivu na msiri sana.Yeye ndio amemaliza upinzani wa CCM na CHADEMA,wanamjua ktk maswali ya papo kwa papo ni Genius huyu.Na akitia jina katika kugombe u-Rais 2015 kwa tikiti ya CCM,Dr.Slaa kwishinee.Kwanza hana kashfa toka enzi ya Mzee Kifimbo si wa mchezo huyu. Tuone 2015 atafanya nini huyu.
 
Kimsingi umeongea jambo zuri hivi!Ila nikukumbushe tu wakati Lowasa anaondoka shule ndo zilikua zinajengwa hivyo kama angeendelea kuwa prm minister angeendelea na kuboresha issue ya walimu na Bado nafasi anayo ila inatakiwa asemehewe na mungu kwa tuhuma juu ya mwakyembe na habari kwamba anataka uongozi ili alipe visasi kwa wale waliokua wabaya wake jambo ambalo si sifa ya kiongozi na ndio linalomuumiza Bulicheka cheka wetu Janga Kubwa au JK ukipenda Janga la Kitaifa JK.Mimi binafsi namkubali lowasa ila ningemshauri asubiri Nyinyiem ikaribie kabisa kufa alafu ajiunge CDM akae na makamanda wenzie ili akishirikiana nao watutoe hapa tulipo na mvua za kutengeneza zitakuwa kama jua kila mahali lipo!Tutalima kama sikili mimi maskini uvivu wangu nyumbani ukiwa huu njiani!
kujenga mashule bila walimu kazi bure ukienda sehemu nyingine shule kibao hakuna walimu na waliopo yebo yebo kuwalipa hawataki tatizo ndio hilo alitaka kuweka historia yeye alijenga shule nyingi cha msingi ni kuandaa kwanza walimu na mitaala ya elimu sio kujenga tu shule

kwa ufuatiliaji maybe lowasa alikua anafuatilia ila kwa style ile udictator sehemu nyingine noma ili kua nafikiri baadhi ya watendaji walishukuru sana kuondoka kwake
 
Back
Top Bottom