TUKUTUKU
JF-Expert Member
- Sep 14, 2010
- 11,765
- 4,033
anajifanya mtu wa kanisa
Hapo una maana gani mkuu!au ni ile issue ya kuomba msamaha kanisa?kama ni hivyo basi wewe una matatizo na ukristu,ukristu ulikuwepo,upo na utaendelea kuwepo hata mfanye nini hamtoweza kamwe kuutokomeza ukristu.Mnapoteza muda wenu bure!!