Threads za CCM na CHADEMA nyingi ni za TROLLS na zimeshusha sana heshima ya JAMBO FORUMSMkuu jifunze kuwaheshimu wenzio unaojadiliana nao. Tabia ya kujifanya unawaita trolls si nzuri na si ya kiungwana.
Tukija kwenye hoja unayoleta mezani na kulazimisha kuuaminisha umma kuwa una data za kutosha ni kuwapotosha bila wao wenyewe kujua.
Nimeona unawakandia waliopropose gharama za ujenzi bila sababu za msingi. Zaidi umeweka bla bla na stori za kuunga unga.
Kwa ufupi hoja kuwa Mh. alijifungia na kusoma documents ina madhaifu mengi nit
MKUU PUNGUZA CHUKI NA KWA RAISI ALIYEPITA, huu mradi ni jk ndo alosaidia kuleta wazo na kuleta wachina kama facilitators, hakufanya chochote zaidi ya kuweka momerandom of understanding nao! So issues za negotiation na uzabuni zilikuwa zinafanywa kipindi hiki na awamu ya tano! wamekuja kupigana chini kwenye zabuni ya ujenzi, waturuki wamekuja na gharama ya chini kuliko wachina watoa pesa! kwa kanuni za ki tenda unampa ambaye ana gharama za chini kwa kazi hiyo, so inaelekea Serikali imevutiwa na gharama ya waturuki! wachina wamegoma kutoa pesa kwamba how comes pesa nikupe mimi penzi utoe kwa mwingine?? hizi zingine zooote ni porojo!Mimi ni mmojawapo wa watu ambao huwa sichelei kumpinga Magufuli pale anapokosea.Lakini huwa pia silazi damu " kwenda naye maili mbili" pale anapofanya vitu vya kutukuka.Kwa hili la Wachina kama ni kweli kutaka kupiga pesa kwenye suala la SGR namuunga mknono kama kweli ameshitukia dili! Serikali ya JK ama kweli imetufanya tuishi kama konokono" ! Hivi kweli kweli JK alikuwa Raisi(chip) au Rahisi(cheap)?
Nimeupdate hoja zangu kama hutojali zipitie na utupatie feedback. Yapo kwenye post uliyoquate.Threads za CCM na CHADEMA nyingi ni za TROLLS na zimeshusha sana heshima ya JAMBO FORUMS
Hapa nazungumza kama veteran. Wabatuharibia focus kwenye mambo ya maana ya nchi.
Lowasa kaingiaje kwenye hii mada? Hadi mda huu hakuna jina la aliyehusika kusaini aliyetajwa. Huwezi kusubiri hadi mleta mada akafikia tamati ili tuanze kumbana kwa maswali?Fisadi Lowasa ndiyo anahusika na saga zima la Tanesco!
Mkuu jifunze kuwaheshimu wenzio unaojadiliana nao. Tabia ya kujifanya unawaita trolls si nzuri na si ya kiungwana.
Tukija kwenye hoja unayoleta mezani na kulazimisha kuuaminisha umma kuwa una data za kutosha ni kuwapotosha bila wao wenyewe kujua.
Nimeona unawakandia waliopropose gharama za ujenzi bila sababu za msingi. Zaidi umeweka bla bla na stori za kuunga unga.
Kwa ufupi hoja kuwa Mh. alijifungia na kusoma documents ina madhaifu mengi nitaeleza jambo moja kwa kifupi sana kuhusiana na hii dhana kuwa gharama zimekuwa inflated:
1. Unapotuambia kuwa Mh. Rais alikaa na kujifungia weekend nzima kupitia gharama halisi bila kuhitaji ushauri wa kitaalam, hili ni ajabu linapatikana Tanzania tu. Ni jambo la ajabu sana kwa kuwa kwanza Mh. Rais si QS wala Engineer kuweza kufanya kazi hii. Natambua italetwa hoja dhaifu ya kuwa ana experience na wizara ya ujenzi. Hoja ni dhaifu zaidi kwa sababu tatu kubwa:
Taifa hili linatakiwa kuendeshwa kwa misingi ya kitaalam wala sio hisia. Naamini wataalam wote wa mwanzo ( waliofanya feasibility studies) walitoa project costs tuwekee hapa tuangalie variations.
- Mtu mmoja hawezi kureview kazi ya QS na kurukia kuwa kuna makosa au ipo sawa ndani ya weekend moja. Ukizingatia ukubwa wa kazi yenyewe hili jambo haliwezekani kufanywa na mtu mmoja (labda tutafute robot lenye super computer kichwani)
- Uzoefu wa wizara ya ujenzi hapa hauna nafasi. Hapa unajenga reli sio barabara na sio tu unajenga reli, unajenga reli ambayo Tanzania haijawahi kuwepo na hatuna experience nayo. Design ya reli, engineering, costing na project nzima ni tofauti sana na ile ya barabara na si tofauti ndogo. Hapa panahitaji mtaalam mbobezi kwenye masuala ya Railway engineering.
- Tatu mabadiliko ya gharama ( kwa ukubwa huu) hayawezi sababishwa na upigaji pekee, tena sio kwa project kubwa kama hii ya reli. Mabadiliko yanaweza kusababishwa na financing structure, design ( reli inaweza kuwa ile ile ila baadhi ya vitu vikapunguzwa ikiwamo terminals na supportive structures) , aina ya contractor, management structure mradi ukikamilika n.k
Hii tenda ilishatangazwa na mshindi alishapatikana ( nanukuu taarifa ya ZZK), tupatie taarifa za waliobid na viwango walivyoweka ni vema kuzingatia hata hawa hawakuweka gharama zote za mradi. Hili litatusaidia kujua kama gharama zilikuwa inflated. Mtu mmoja hatoshi kuconclude kuwa tumepigwa ignoring wataalamu wa serikali ya awamu iliyopita, 4 feasility consultants na contractors waliobid.
Yes, Mh. Jakaya hapendwi na watu kadhaa ila tusimhukumu kwa bila ushahidi wa msingi.
Umemwona Lowassa tu thread nzima!?!?Fisadi Lowasa ndo ameleta Richmond, hivyo huyu ndiyo waku-shoot!
Sasa CHADEMA trolls wanapokuja kujadili rangi ya shati la waziri January inasaidia nini kwa JAMIIFORUMS members?
Sasa CCM trolls wanapokuja kujadili Dr Silaa anatembea na nani inasaidiaa nini JAMIIFORUMS members?
Issue yangu ni Trolls wanatuharibia quality ya mijadala humu JF na kwa hilo i won't apologise for calling them out