Amoeba
JF-Expert Member
- Aug 20, 2009
- 3,289
- 781
Salam wakuu,
mlioko mjini (dar), hivi wazo la kuwa gaming centre yenye machine za kisasa inaweza kulipa?
Tafadhali nijuzeni, kama kuna game centre yenye mashine za kisasa wanatoza bei gani (kwa saa,.au vinginevyo?). Pia nahitaji mawazo, ni mji gani tena unaweza kuwa na wapenzi wengi wa video games? Nisaidieni mawazo wakuu, miji ya wenzetu sehem kama hizi vijana na watu wazima wako adicted na wanajaa hasa kucheza games, nashikwa na tamaa lakn bado inantia shaka sana, hasa ukizingatia bei ya mashine zenyewe (6-10M/set), ukianza na set 10 hv, ukijumlisha pango na gharama zingine ni zaidi ya 150, ITALIPA KWELI?
Natanguliza shukrani
mlioko mjini (dar), hivi wazo la kuwa gaming centre yenye machine za kisasa inaweza kulipa?
Tafadhali nijuzeni, kama kuna game centre yenye mashine za kisasa wanatoza bei gani (kwa saa,.au vinginevyo?). Pia nahitaji mawazo, ni mji gani tena unaweza kuwa na wapenzi wengi wa video games? Nisaidieni mawazo wakuu, miji ya wenzetu sehem kama hizi vijana na watu wazima wako adicted na wanajaa hasa kucheza games, nashikwa na tamaa lakn bado inantia shaka sana, hasa ukizingatia bei ya mashine zenyewe (6-10M/set), ukianza na set 10 hv, ukijumlisha pango na gharama zingine ni zaidi ya 150, ITALIPA KWELI?
Natanguliza shukrani