JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,018
..jamani huyu askari wetu naambiwa alifariki na kuzikwa Msumbiji.
..mchango wake ktk vita vya ukombozi Msumbiji ni vizuri ukawekwa wazi.
..naambiwa marehemu Field Marshal Samora Machel, Raisi wa kwanza wa Msumbiji, alimpenda sana Col.Mahfudhi.
..Mahfudhi alikuwa kati ya makamanda wa JWTZ waliobaki Msumbiji baada ya nchi hiyo kupata uhuru. mwingine ni marehemu Brig.Gen.Makaranga.
..
..mchango wake ktk vita vya ukombozi Msumbiji ni vizuri ukawekwa wazi.
..naambiwa marehemu Field Marshal Samora Machel, Raisi wa kwanza wa Msumbiji, alimpenda sana Col.Mahfudhi.
..Mahfudhi alikuwa kati ya makamanda wa JWTZ waliobaki Msumbiji baada ya nchi hiyo kupata uhuru. mwingine ni marehemu Brig.Gen.Makaranga.
..