Ninachooamini ni kwamba miongoni mwa alama za uwepo wa mungu ni akili, sasa nikiono watu hapo juu mkichallengiana inamaanisha akili, tayari one of the signs..
Pia wanadamu tumepewa ukomo wa uelewa, so hakunaga kujua yoote. There is not but one God!
Allah..
Utaki kakojoe ulale..
Kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote aumbe ulimwengu unaoruhusu ajali kutokea na viumbe wake kuumia vikali na hata kufa?
Wakati alikuwa na uwezo wote wa kuumba ulimwengu ambao ajali haiwezekani.
Sheria ni limitation.
Inakuwaje mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote, upendo wote awe characterized kama limitation?
pia alikuwa na uwezo wa kukwepesha ajali. hizo.....ila waburuzwao ajali ikitokea watakwambia ni MPANGO WA MUNGU...wakiona wamefululiza kumsingizia mungu basi wanamgeukia shetani...
Wakimgeukia ahetani nitawauliza, kwa nini mungu mwenye uwezo wote, upendo wote na ujuzi wote, ukiwamo ujuzi wa mambo yatakavyokuwa kila eventiality, aumbe ulimwengu ambao shetani anawezekana kuwepo?
Hususan kama uwezo wa kuumba ulimwe gu ambao ahetani hakuwezekana kuwapo alikuwa nao tu?
Hiyo namba 1&5 kama Jah aliumba watu wawili tu na wakaongezeka ina maana tuligegedana ndugu kwa ndugu then ndio tuka ongezeka?Kama jibu ni ndio basi hata leo uki mgegeda dada yako hiyo sio dhambi coz ina onekana sie wote ni ndugu wa baba mmoja na mama mmoja!
kumuomba na kuumpa ukuu wote pia hakumfanyi awepo mana haendeshi maisha ya watu woteKushindwa kwa mwanadamu kumwelezea vizuri Mungu; na kwao kupambanua yapi yatokayo kwa Mungu na yapi sio, hakuondoi uwepo wake.
Hiyo namba 1&5 kama Jah aliumba watu wawili tu na wakaongezeka ina maana tuligegedana ndugu kwa ndugu then ndio tuka ongezeka?Kama jibu ni ndio basi hata leo uki mgegeda dada yako hiyo sio dhambi coz ina onekana sie wote ni ndugu wa baba mmoja na mama mmoja!
Hoja Dhaifu! huyo Allah wako yeye mwenyewe alikili kuwa Hakuna Mungu...
Kuwa na akili ndio jibu lako la kuwa Mungu Yupo????? Akili zinakaa kwenye Ubongo na Ubongo na Mungu hapo vipi?
Uwepo wa kuamini Mungu yupo ni Imani tu nothing else... ni sawa na kusema Brainwashed...
Mtu akikuambia Kalipue bomu Bungeni ukifa unaenda moja kwa moja Peponi na huko utakuta Wanawake walionona na wenye makalio makubwa zaidi ya mia utazini nao tu kwa raha zako... na wewe ukiamini ndio kama hivyo...