Ushirombo
JF-Expert Member
- Jan 22, 2013
- 3,557
- 2,692
jana nilikua nasikiliza PB wamleta program manager kuelezea juu ya ule ugomvi ulotokea last week,eti akasema ile ilikua ni planned ili wajue attention ya watu ktk radio yao,Hivi hawa jamaa wana akili kweli? Majibu mepesiiiiiiii kwa maswali magumu ndo haya then nashindwa kuwatofautisha na ccm pale lukuvi aliposema lile bomu la arusha soweto ni cdm wenyewe wamepanga ili kupata huruma ya watu.Mimi nasema hivi kuanzia jana 88.5fm sisikilizi teeeeeeeeeeeeena,bora niwe namsikiliza zembwela anaongea vitu vyenye mashiko