Mdadamwema.
Senior Member
- Aug 7, 2014
- 150
- 169
Habari zenu wakuu,
Hii ni habari njema kwa wale wenye matatizo sugu ya uzazi, kuna clinic mpya imefunguliwa inajihusisha na mambo ya upandikizaji(IVF) kwa kina mama ambao hawawezi kupata ujauzito kwa njia ya kawaida na kwa kina baba ambao hawawezi kutungisha mimba kwa njia ya kawaida.Iko Mbezi beach.Tell +255222617830.Mobile +255756889961.
Web:www.makivf.co.tz
Hii ni habari njema kwa wale wenye matatizo sugu ya uzazi, kuna clinic mpya imefunguliwa inajihusisha na mambo ya upandikizaji(IVF) kwa kina mama ambao hawawezi kupata ujauzito kwa njia ya kawaida na kwa kina baba ambao hawawezi kutungisha mimba kwa njia ya kawaida.Iko Mbezi beach.Tell +255222617830.Mobile +255756889961.
Web:www.makivf.co.tz