Said Stuard Shily
JF-Expert Member
- Jul 18, 2017
- 2,263
- 1,883
Ama kwà hakika hayawi hayawi yamekuwa,jana majira ya Mchana nguli la soka la Moira wa Miguu mwamba wa Lusaka mara baada ya kumaliza mapumziko yake kutokana na kuiwakilisha Nchi yake katika mashindano ya AFCON huko Ivory Coast.
Sasa wapenzi wa Simba tuna uhakika Timu yetu itashinda mechi ya leo dhidi ya wanyonga Mapaka Maarufu THE HEROES.
Aidha kila mtu mwenye mapenzi aiombee Timu yetu kwà Muumba Mbingu na Nchi ishinde mechi ya leo,tuondokana kabisa na utegemezi wa Marefa kama wenzetu
Kwà kuwa jana tumeshuhudia Timu fulani ikinyimwa goli la wazi sambamba na Mauzauza ya faulo za mchongo karibu na lango la Timu hiyo ili mradi tu nyavu zitikisike lkn Mungu alikuwa upande wa Timu mwenyeji mpaka kipenga cha mwisho kinalia walikuwa wamefungana 0-0.Mungu ibariki Simba Mungu ibariki Tanzania.
Sabato Njema.
Sasa wapenzi wa Simba tuna uhakika Timu yetu itashinda mechi ya leo dhidi ya wanyonga Mapaka Maarufu THE HEROES.
Aidha kila mtu mwenye mapenzi aiombee Timu yetu kwà Muumba Mbingu na Nchi ishinde mechi ya leo,tuondokana kabisa na utegemezi wa Marefa kama wenzetu
Kwà kuwa jana tumeshuhudia Timu fulani ikinyimwa goli la wazi sambamba na Mauzauza ya faulo za mchongo karibu na lango la Timu hiyo ili mradi tu nyavu zitikisike lkn Mungu alikuwa upande wa Timu mwenyeji mpaka kipenga cha mwisho kinalia walikuwa wamefungana 0-0.Mungu ibariki Simba Mungu ibariki Tanzania.
Sabato Njema.