Alfred
JF-Expert Member
- Apr 13, 2008
- 1,636
- 1,876
nipende kutanguliza shukrani zangu za dhati kwanza kwa mwenyezi mungu....... Kabla ya kuandika Uzi huu... Wadau naombeni kama kuna civil eng student wa UDSM hapa JF atupange kidogo sisi first year tunaotarajia kujiunga.... Na je kama una meet minimum entry requirements utaruhusiwa kuhama faculty..?? example From CIVIL....²......ELECTRICAL
Ahsantenii saanaa....!!!!
Ahsantenii saanaa....!!!!