Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,780
Tomboka ndo nini? Khaa......mr judge bana!!
Kipipi nawee? Tomboka hii si unaniuliza mara ya pili ?
Maana yake SEMA au FUNGUKA hicho ni Ki'Congo .
Na mbona neno hilo linatumika sana hapa Jamvi ? Ndo kusema umeliona leo kwanza ? Kama jibu ndiyo siamini!