projectman
JF-Expert Member
- Sep 8, 2015
- 349
- 484
Inaniuma sana, kuna chuo fulani kinajinasibu hapa Dar es aalam, kina toa hadi masters, katika masuala ya miradi,ninacho jiuliza zaidi, wanatoa elimu ambayo, wao wenyewe, hawaitekelezi kwa vitendo..
Hawa jamaa, niliwai kuwa mtumishi katika taasisi yao, waliishia kunitapeli pesa yangu mshahara, wa miezi kama 10, hivi, nilipo idai wakaishia kunitupa rumande, huyo bosi na mkewe, wakaishia kunidhulumu, nilipo wadai sana, wakaona ili kuninyamazisha, ni bora kunitia ndani, polis na kesi za mauwaji, na makesi mengine
Ofisi, drama, chuki,umbea,makundi na tetesi za mapenzi ofisini, wengi walidondokea pua,
Hivi watanzania unawezaje kutupa pesa, ukasome chuo cha mtu binafsi, level ya masters, huku muanzirishi wa chuo hicho, hana hata first degree, masters ya st. Kayumba.
Kuweni makini na chuo binafsi cha mtu, nendeni msome vyuo vya serikali, hasa kwa ngazi za juu, kama masters na kuendelea, mtakuja kunishukuru,
Nimeshasema chuo cha miradi tz
Hawa jamaa, niliwai kuwa mtumishi katika taasisi yao, waliishia kunitapeli pesa yangu mshahara, wa miezi kama 10, hivi, nilipo idai wakaishia kunitupa rumande, huyo bosi na mkewe, wakaishia kunidhulumu, nilipo wadai sana, wakaona ili kuninyamazisha, ni bora kunitia ndani, polis na kesi za mauwaji, na makesi mengine
Ofisi, drama, chuki,umbea,makundi na tetesi za mapenzi ofisini, wengi walidondokea pua,
Hivi watanzania unawezaje kutupa pesa, ukasome chuo cha mtu binafsi, level ya masters, huku muanzirishi wa chuo hicho, hana hata first degree, masters ya st. Kayumba.
Kuweni makini na chuo binafsi cha mtu, nendeni msome vyuo vya serikali, hasa kwa ngazi za juu, kama masters na kuendelea, mtakuja kunishukuru,
Nimeshasema chuo cha miradi tz