TANMO
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 11,514
- 11,277
Wakuu kwa mwenye kuweza kunisaidia kufanikisha kupata chumba maeneo hususani Ubungo, Mwenge, au Mabibo nitashukuru, Bajeti Tzs 50,000 kwa chumba pekee au Tzs 100,000 kwa chumba na sebule au chenye choo na bafu ndani. Preferably sehemu yenye fensi na uhakika wa maji na umeme.
Pia maeneo mengine ya wilaya ya kinondoni yanaweza kukubaliwa.
Ushauri wowote utapokelewa, natanguliza shukrani.
Pia maeneo mengine ya wilaya ya kinondoni yanaweza kukubaliwa.
Ushauri wowote utapokelewa, natanguliza shukrani.