lady mmarangu
JF-Expert Member
- Dec 7, 2015
- 306
- 164
Za jioni wa kuu!nahitaji msaada wenu wa hali na mali.kuna kitu kinachukua pesa kwa waleti yangu,na ni mara ya 3 inanitoke, na kinachotokea mimi nahisi ni mke wangu kachukua,mke wangu nae ahisi ni mm mwenyewe najiibia, wakuu nahitaji mchango wenu,.