buffalo44
JF-Expert Member
- May 8, 2016
- 3,140
- 6,288
Uchochezi wapi we mnufaika na awamu hii? Au unataka tutaje na majina ya wastaafu ambao hawajalipwa? tunawahifadhi tu ili wasitekwe - nyambafu kabisa!
Matusi ya nini sasa?
Uchochezi wapi we mnufaika na awamu hii? Au unataka tutaje na majina ya wastaafu ambao hawajalipwa? tunawahifadhi tu ili wasitekwe - nyambafu kabisa!
Kuwa member mpya sio tatizo tunacho angalia ni ujembe uwe wa ukweli basi we hata ukiingia sa hizi ukaposti ni sawa ili mradi umtupasha habari ya uhakika
Sent using Jamii Forums mobile app
Mie sister wangu mpk kesho anachemsha maharage na viziga juu mmh..Mkuu inauma sana kuna mzee namfahamu kastaafu mwezi May mapak leo hajapewa kitu kila akienda NSSF wanampa story tu.Hapa ana madeni kibao mpaka ameanza kuchanganyikiwa.
Ni kweli kabisa mkuu tangu nirudi Bongo nakutana na vilio vya dhiki tuHawa wastaaufu ndio wapenzi wakuu wa ccm, acha wavune walichppanda.
nazani saiz dawa inawaingia taratiiibu na badoooo ili wajifunze si unajua kusikia kwa kenge mpak damu itokeHawa wastaaufu ndio wapenzi wakuu wa ccm, acha wavune walichppanda.
Baada ya Magufuli kumtumbua yule mmama ambaye wakati fulani aliingia kwenye ligi na Bulaya kuhusu kikokotoo aliendelea mbele zaidi na kuivunja ile Ofisi ya yule mmama yaani SSRA na kisha kuamua yeye mwenyewe kusimamia mifuko ya pensheni.
Katika kutekeleza ilo akamchukua Msukuma mwenzake kutoka NSSF na kumfanya kuwa mtendaji Mkuu wa Mfuko huo uku akimpa amri kila siku mambo ya kufanya kwa kuwa huyo jamaa awezi kumkatalia kama yule Sanga alivyokuwa hapendi kuamrishwa kuwa kinyume na Sheria.
Sasa huyu Mkuu wa Mfuko anapata shida kwa sasa kwa sababu Mfuko hauna pesa za kuwalipa wastaafu waliostaafu tangu Mwezi wa sita Mwaka huu. Hivi juzi mkuu wa Mfuko huu alimweleza Mkulu kuwa mfuko hauna ela akamkemea sana km mtoto mdogo na kumwambia nisisikie ukisema uko wapinzania wakasikia.
Kinachendelea ni wastaafu hawa kuteseka tu hamna pensheni na Mkulu na Serikali yake wamegoma kupeleka hela kwenye mfuko. Hapo sasa ndiyo watu wanamkumbuka Sanga ambaye alikuwa hapindishi mambo!
UMEIANDIKA KIUCHOCHEZI SANABaada ya Magufuli kumtumbua yule mmama ambaye wakati fulani aliingia kwenye ligi na Bulaya kuhusu kikokotoo aliendelea mbele zaidi na kuivunja ile Ofisi ya yule mmama yaani SSRA na kisha kuamua yeye mwenyewe kusimamia mifuko ya pensheni.
Katika kutekeleza ilo akamchukua Msukuma mwenzake kutoka NSSF na kumfanya kuwa mtendaji Mkuu wa Mfuko huo uku akimpa amri kila siku mambo ya kufanya kwa kuwa huyo jamaa awezi kumkatalia kama yule Sanga alivyokuwa hapendi kuamrishwa kuwa kinyume na Sheria.
Sasa huyu Mkuu wa Mfuko anapata shida kwa sasa kwa sababu Mfuko hauna pesa za kuwalipa wastaafu waliostaafu tangu Mwezi wa sita Mwaka huu. Hivi juzi mkuu wa Mfuko huu alimweleza Mkulu kuwa mfuko hauna ela akamkemea sana km mtoto mdogo na kumwambia nisisikie ukisema uko wapinzania wakasikia.
Kinachendelea ni wastaafu hawa kuteseka tu hamna pensheni na Mkulu na Serikali yake wamegoma kupeleka hela kwenye mfuko. Hapo sasa ndiyo watu wanamkumbuka Sanga ambaye alikuwa hapindishi mambo!
Yaan mm nikisiaga eti serikali ya wanyonge nahisi machozi yanatoka aisee maana wastaafu halipwi wanafunzi wabfukuzwa kwa kudai mkopo sasa hawa wanyonge ni wap aiseeMie sister wangu mpk kesho anachemsha maharage na viziga juu mmh..
Kuna mmoja alipokea cheki yake ya mafao akiwa kitandani kwa ugonjwa wa shinikizo la damu. Aliipokea akaiweka chini ya pillow kesho yake akaaga dunia! Huyu mzee alikaa miaka 2 bila kulipwa,madeni yakazidi,akakosana hadi mke wake! Hii kitu imetesa wastaafu wengi.Mkuu inauma sana kuna mzee namfahamu kastaafu mwezi May mapak leo hajapewa kitu kila akienda NSSF wanampa story tu.Hapa ana madeni kibao mpaka ameanza kuchanganyikiwa.
Chinga na mamntilie wanaolipa kodi ya 20,000 kwa mwakaYaan mm nikisiaga eti serikali ya wanyonge nahisi machozi yanatoka aisee maana wastaafu halipwi wanafunzi wabfukuzwa kwa kudai mkopo sasa hawa wanyonge ni wap aisee
Do not generalize matters please, so unfair.Hawa wastaaufu ndio wapenzi wakuu wa ccm, acha wavune walichppanda.
Hili la penseni limenigusa sana kwani Mzee wangu amestaafu toka mwezi wa sita mpaka sasa hamna kinachoendelea na tuna imba kutekeleza haki za watu. Kama Mtanzania mwenzangu naamini wazee wenu watastaafu siku zijazo tafadhari mkumbusheni huyu Raisi wa wanyonge atekeleze haki
Hivi wanyonge ni akina nani mkuuNa boss anasema nchi hii ni tajiri na yuko kwa ajili ya wanyonge.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza kuwa na pointi lakini umechanganya mambo sana,mfuko unao uongelea ni PSSSF au NSSF? Maana usipofafanua kwenye hili,mada yako itakuwa inapotosha sana,Erio ndo DG wa NSSF, na mara ya mwisho nimeulizia Erio sio Musukuma labda kama kabadili kabila hivi karibuni😂😂😂Baada ya Magufuli kumtumbua yule mmama ambaye wakati fulani aliingia kwenye ligi na Bulaya kuhusu kikokotoo aliendelea mbele zaidi na kuivunja ile Ofisi ya yule mmama yaani SSRA na kisha kuamua yeye mwenyewe kusimamia mifuko ya pensheni.
Katika kutekeleza ilo akamchukua Msukuma mwenzake kutoka NSSF na kumfanya kuwa mtendaji Mkuu wa Mfuko huo uku akimpa amri kila siku mambo ya kufanya kwa kuwa huyo jamaa awezi kumkatalia kama yule Sanga alivyokuwa hapendi kuamrishwa kuwa kinyume na Sheria.
Sasa huyu Mkuu wa Mfuko anapata shida kwa sasa kwa sababu Mfuko hauna pesa za kuwalipa wastaafu waliostaafu tangu Mwezi wa sita Mwaka huu. Hivi juzi mkuu wa Mfuko huu alimweleza Mkulu kuwa mfuko hauna ela akamkemea sana km mtoto mdogo na kumwambia nisisikie ukisema uko wapinzania wakasikia.
Kinachendelea ni wastaafu hawa kuteseka tu hamna pensheni na Mkulu na Serikali yake wamegoma kupeleka hela kwenye mfuko. Hapo sasa ndiyo watu wanamkumbuka Sanga ambaye alikuwa hapindishi mambo!
Hizi ndio laana za nchi ..lakini anayezibeba ni mmoja na bado anaendelea kuzibebaKuna mmoja alipokea cheki yake ya mafao akiwa kitandani kwa ugonjwa wa shinikizo la damu. Aliipokea akaiweka chini ya pillow kesho yake akaaga dunia! Huyu mzee alikaa miaka 2 bila kulipwa,madeni yakazidi,akakosana hadi mke wake! Hii kitu imetesa wastaafu wengi.