Chondechonde Rais wangu Magufuli, hili ni jaribu kuu kwako!

Zamani nilikuwa nawaheshimu sana waandishi,watangazaji ,
nilikuwa nawaona wako very exceptional,
nikisikia,"nikiripoti kutoka Dodoma ,Juma Ngamia ITV"

AU


" Ni mimi mtangazaji wako,Jerry muro wa Itv"

nikawa natamani kweli ,nikiona wako level ya juu sana,kumbe ni Wachumia tumbo tu,
heri niendelee kulima ndengu tu,mimi unafiki siwezagi kabisaaaaa
 
mwache avimbe kichwa abadili katiba .
Mbona mnalilia mswada unapelekwa bungeni na bunge lina uhuru wa kuamua kukubali au kukataa wasiwasi wenu nini, hii ndo chungu na tamu ya demokrasia. Kila siku mnalalamika raisi anaingilia bunge mara sijui nini halafu sasa hivi mnataka ainglie kuzuia mawazo ya wabunge, mbona hamueleweki.
 
Naona Leo unamlilia "Raisi wako"!!
Acha unafiki!!
Katika katiba ya chama chenu kuna jambo la kujifunza kwenye ukomo wa uongozi??? Katiba yenu inasema kiongozi mkuu wa Chama(Mwenyekiti) atadumu kwa muda wa miaka mingapi??? Ili tujifunzie huko??
Nitajie wenyeviti wa taifa CDM tangia kimeanzishwa
 
Huu mtego mkali sana kwa wabunge, watanasa wengi sana wakiwemo kina Zito, Mbatia, Mbowe, Msigwa, Lema, Mdee, mnyika na wa sisiemu karibu wote!!
Rais ni sehemu ya bunge hivyo automatically na yeye anaongeza muda kama mswada utapita, ILA, je wabunge wako tayari kukataa wao kama wao kujiongezea miaka miwili?? Sidhani, ubunge mtamu sana kwao, hawana jinsi bali kujiongezea wao na pia automatically kumuongezea rais!!
 
Mshahamishwa kwenye kuhoji mambo ya Lisu sasa mnacheza ngoma yao

Hamna wa kuongeza muda Tanzania hii

Rudini kwenye mambo ya Lisu acheni kuchezeshwa shere na nyie mnakata mauno tu
 
Chondechonde rais wangu Magufuli, hili ni jaribu kuu kwako, Mzee Nyerere alikataa pamoja na hadaha kubwa ya wafuasi wake kwamba aking'atuka nchi itayumba, yeye aliwajibu kwamba, "mseme ukweli, mtayumba nyinyi kwa kukosa ulaji". Mzee Mwinyi alikataa, Mzee Mkapa alitaa, Mzee Kikwete alikataa. Ni wakati wako kuamua, una kura yote ya turufu ya kuamua.

Katika mambo ambayo nchi inaweza kuingia katika machafuko ni huu "upuuzi, wa wachache, katika nchi, naita upuuzi ili kudhirisha kuwa ni hoja ya kipuuzi. Yani Rais aongoze hadi miaka 7 ndio uchaguzi ufanyike badala ya utaratibu wa kikatiba wa sasa wa miaka mitano mitano?

Rais wangu Magufuli kuwa makini na jambo hili. Wanaojipendekeza wakikusifu na kukuchekea juu ya hili hawalitakii mema taifa... Ninazungumza haya nikitambua wazi historia ya nguvu ya umma katika migogoro ya kikatiba, duniani pote hakuna umma uliowahi kunyamaza na mambo yakapita pale watawala walipojaribu kuchezea katiba kwa kubadili vifungu.

Rais wangu ninaogopa, hawa Watanzania unaowaona wanatishwa kwenye siasa wakatishika, mimi sio Mungu, lakini nakuapia kwenye "katiba yao" hawatatishika na kunyamaza, ninazungumza haya kwakutumia mifano hai ya mataifa mengine ulimwenguni. Yanini twende huko kwaajili ya kikundi cha wachache?

Katika kitu hatari sana kwa dunia ya leo ni kuichezea katiba ya nchi, kwasababu ambazo hazishirikishi umma na nisababu za kimaslahi kundi kuliko taifa. Ninani mwenye haki na mnyoofu wa moyo ndani ya ccm ainuke akemee upuuzi huu? Wazee wetu Mzee Warioba, Mzee Butiku, Mzee Salim A. Salim, Mzee Amani Karume, Mzee Mkapa, Mzee Mwandosya na wazee wengine, makanyo yenu kwa taifa yamekwenda wapi?

Vifungu vibovu kwenye Katiba vimejaa tele, badala ya kuleta hoja ya kurekebisha vifungu hivyo, mtu anakuja na hoja ya ajabu kabisa ama kwa lengo la kujipendekeza kwa Rais au kwa kutumwa na kikundi cha wachache wenye maslahi na matokeo ya mabadiliko haya..

Kwa bunge hili la Ndugai na Naibu wake, najawa na simanzi kama upuuzi huu utazuiwa kweli, Lakini yote kwa yote sidhani kama itapatikana theluthi mbili ya kura za wabunge hata kutoka huko CCM. Kuna watu huko bado ni SMART, siyo wajinga kama hawa wanakikundi .

Mh Rais wangu Magufuli, sisi Watanzania tupo Nairobi tunamuuguza MZALENDO WETU WA KWELI Mh Tundu Lissu, tunaomba utuombee tumuombee apone haraka.

Na Yericko Nyerere

View attachment 589941
Well said, Yericko. Nakubali, kama ni marekebisho ya Katiba, basi turejee ibara zinazoonekana mbovu hasa zinazohusu uchaguzi. Ni jana tu JUKATA waliisihi serikali kabla ya uchaguzi kufanya marekebisho ya ibara hizo. Otherwise, Katiba Mpya ndiyo jibu kama watawala wataridhia.

[HASHTAG]#prayfortundulissu[/HASHTAG]
 
Mbona huo muswada una zungumzia ukomo wa bunge na si Rais? Hata hivyo Magufuli alishaweka wazi kitambo kuwa vipindi viwili vinamtosha...
Sijui unataka aongee nini tena?
Lakini nimefurahi umemtambua kuwa yeye ndiye Rais.
 
Naona Leo unamlilia "Raisi wako"!!
Acha unafiki!!
Katika katiba ya chama chenu kuna jambo la kujifunza kwenye ukomo wa uongozi??? Katiba yenu inasema kiongozi mkuu wa Chama(Mwenyekiti) atadumu kwa muda wa miaka mingapi??? Ili tujifunzie huko??
Hiyo ndiyo katiba iliyokubaliwa na kupitishwa na wanachama. Katiba hiyo haijakiuka sheria ya vyama vya siasa na kanuni zake. Katiba hiyo, haijakiuka misingi ya katiba ya JMT.
That's it.

[HASHTAG]#prayfortundulissu[/HASHTAG]
 
Chondechonde rais wangu Magufuli, hili ni jaribu kuu kwako, Mzee Nyerere alikataa pamoja na hadaha kubwa ya wafuasi wake kwamba aking'atuka nchi itayumba, yeye aliwajibu kwamba, "mseme ukweli, mtayumba nyinyi kwa kukosa ulaji". Mzee Mwinyi alikataa, Mzee Mkapa alitaa, Mzee Kikwete alikataa. Ni wakati wako kuamua, una kura yote ya turufu ya kuamua.

Katika mambo ambayo nchi inaweza kuingia katika machafuko ni huu "upuuzi, wa wachache, katika nchi, naita upuuzi ili kudhirisha kuwa ni hoja ya kipuuzi. Yani Rais aongoze hadi miaka 7 ndio uchaguzi ufanyike badala ya utaratibu wa kikatiba wa sasa wa miaka mitano mitano?

Rais wangu Magufuli kuwa makini na jambo hili. Wanaojipendekeza wakikusifu na kukuchekea juu ya hili hawalitakii mema taifa... Ninazungumza haya nikitambua wazi historia ya nguvu ya umma katika migogoro ya kikatiba, duniani pote hakuna umma uliowahi kunyamaza na mambo yakapita pale watawala walipojaribu kuchezea katiba kwa kubadili vifungu.

Rais wangu ninaogopa, hawa Watanzania unaowaona wanatishwa kwenye siasa wakatishika, mimi sio Mungu, lakini nakuapia kwenye "katiba yao" hawatatishika na kunyamaza, ninazungumza haya kwakutumia mifano hai ya mataifa mengine ulimwenguni. Yanini twende huko kwaajili ya kikundi cha wachache?

Katika kitu hatari sana kwa dunia ya leo ni kuichezea katiba ya nchi, kwasababu ambazo hazishirikishi umma na nisababu za kimaslahi kundi kuliko taifa. Ninani mwenye haki na mnyoofu wa moyo ndani ya ccm ainuke akemee upuuzi huu? Wazee wetu Mzee Warioba, Mzee Butiku, Mzee Salim A. Salim, Mzee Amani Karume, Mzee Mkapa, Mzee Mwandosya na wazee wengine, makanyo yenu kwa taifa yamekwenda wapi?

Vifungu vibovu kwenye Katiba vimejaa tele, badala ya kuleta hoja ya kurekebisha vifungu hivyo, mtu anakuja na hoja ya ajabu kabisa ama kwa lengo la kujipendekeza kwa Rais au kwa kutumwa na kikundi cha wachache wenye maslahi na matokeo ya mabadiliko haya..

Kwa bunge hili la Ndugai na Naibu wake, najawa na simanzi kama upuuzi huu utazuiwa kweli, Lakini yote kwa yote sidhani kama itapatikana theluthi mbili ya kura za wabunge hata kutoka huko CCM. Kuna watu huko bado ni SMART, siyo wajinga kama hawa wanakikundi .

Mh Rais wangu Magufuli, sisi Watanzania tupo Nairobi tunamuuguza MZALENDO WETU WA KWELI Mh Tundu Lissu, tunaomba utuombee tumuombee apone haraka.

Na Yericko Nyerere

View attachment 589941
Mnaondolewa kwenye reli issue ya tl unless muweke sandwich ili yaende pamoja. Spinning news.
 
Cheki yeriko ulivyokua popo sasa watu wanasema ukomo wa bunge umekimbilia ukomo wa rais ,kweli nyumbu ni nyumba hauwzi kuwa simba

Acheni kusanifu watu nyie. Kwahiyo wabunge waongezewe ila rais asiongezewe. Mbona wananchi tuliposema tuwaondoe wabunge wasiotekeleza wajibu wao wabunge waligoma?
 
Chondechonde rais wangu Magufuli, hili ni jaribu kuu kwako, Mzee Nyerere alikataa pamoja na hadaha kubwa ya wafuasi wake kwamba aking'atuka nchi itayumba, yeye aliwajibu kwamba, "mseme ukweli, mtayumba nyinyi kwa kukosa ulaji". Mzee Mwinyi alikataa, Mzee Mkapa alitaa, Mzee Kikwete alikataa. Ni wakati wako kuamua, una kura yote ya turufu ya kuamua.

Katika mambo ambayo nchi inaweza kuingia katika machafuko ni huu "upuuzi, wa wachache, katika nchi, naita upuuzi ili kudhirisha kuwa ni hoja ya kipuuzi. Yani Rais aongoze hadi miaka 7 ndio uchaguzi ufanyike badala ya utaratibu wa kikatiba wa sasa wa miaka mitano mitano?

Rais wangu Magufuli kuwa makini na jambo hili. Wanaojipendekeza wakikusifu na kukuchekea juu ya hili hawalitakii mema taifa... Ninazungumza haya nikitambua wazi historia ya nguvu ya umma katika migogoro ya kikatiba, duniani pote hakuna umma uliowahi kunyamaza na mambo yakapita pale watawala walipojaribu kuchezea katiba kwa kubadili vifungu.

Rais wangu ninaogopa, hawa Watanzania unaowaona wanatishwa kwenye siasa wakatishika, mimi sio Mungu, lakini nakuapia kwenye "katiba yao" hawatatishika na kunyamaza, ninazungumza haya kwakutumia mifano hai ya mataifa mengine ulimwenguni. Yanini twende huko kwaajili ya kikundi cha wachache?

Katika kitu hatari sana kwa dunia ya leo ni kuichezea katiba ya nchi, kwasababu ambazo hazishirikishi umma na nisababu za kimaslahi kundi kuliko taifa. Ninani mwenye haki na mnyoofu wa moyo ndani ya ccm ainuke akemee upuuzi huu? Wazee wetu Mzee Warioba, Mzee Butiku, Mzee Salim A. Salim, Mzee Amani Karume, Mzee Mkapa, Mzee Mwandosya na wazee wengine, makanyo yenu kwa taifa yamekwenda wapi?

Vifungu vibovu kwenye Katiba vimejaa tele, badala ya kuleta hoja ya kurekebisha vifungu hivyo, mtu anakuja na hoja ya ajabu kabisa ama kwa lengo la kujipendekeza kwa Rais au kwa kutumwa na kikundi cha wachache wenye maslahi na matokeo ya mabadiliko haya..

Kwa bunge hili la Ndugai na Naibu wake, najawa na simanzi kama upuuzi huu utazuiwa kweli, Lakini yote kwa yote sidhani kama itapatikana theluthi mbili ya kura za wabunge hata kutoka huko CCM. Kuna watu huko bado ni SMART, siyo wajinga kama hawa wanakikundi .

Mh Rais wangu Magufuli, sisi Watanzania tupo Nairobi tunamuuguza MZALENDO WETU WA KWELI Mh Tundu Lissu, tunaomba utuombee tumuombee apone haraka.

Na Yericko Nyerere

View attachment 589941
Watu wenye Mawazo Mgando wako wengi anjipendekeza miaka Hii 3 tu ambayo bado miezi 2 Muelekeo haupo sembuse hiyo mia 4
 
Mbona mnalilia mswada unapelekwa bungeni na bunge lina uhuru wa kuamua kukubali au kukataa wasiwasi wenu nini, hii ndo chungu na tamu ya demokrasia. Kila siku mnalalamika raisi anaingilia bunge mara sijui nini halafu sasa hivi mnataka ainglie kuzuia mawazo ya wabunge, mbona hamueleweki.
huo muswaada utaamuliwa na bunge au kikao cha CCM?
 
Mbona mnalilia mswada unapelekwa bungeni na bunge lina uhuru wa kuamua kukubali au kukataa wasiwasi wenu nini, hii ndo chungu na tamu ya demokrasia. Kila siku mnalalamika raisi anaingilia bunge mara sijui nini halafu sasa hivi mnataka ainglie kuzuia mawazo ya wabunge, mbona hamueleweki.
hakuna mwenye shida hii nchi si mali yenu amueni hata mkitaka kuitoa kwa mkopo hakuna atakaekuuliza.
 
Wakuu habari ya jumapili,

Binafsi nitakuwa tayari kuandaa maandamano ya Amani na kushiriki kupinga muswada mpya utakaopelekwa bungeni na Mbunge wa Chemba Juma Nkamia kubadilisha muhula wa Urais kutoka miaka Mitano kwenda Miaka saba.

Naomba kuungwa mkono katika hili na Watanzania wenzangu kwa maana hili sidhani kama lina tija yoyote kwa sasa,tuma mambo mengi ya kufanya kama Taifa kuliko kukaa na kutaka kujifananisha na Rwanda kwa kila kitu.Viongozi wetu wafikirie namna nzuri ya kututoa hapa tulipo kwa kutumia rasilimali zilizopo badala ya kukaa na kuwaza kila wafanyacho wanyarwanda na kagame wao.Kwanza niaibu kwa Taifa kama Tanzania lenye kila kitu kuwa na viongozi wanaowaza kutenda na kufikiria kutoka kwa kiongozi ambaye Taifa lake hata kwa ukubwa tu haliwezi fikia mkoa wa Tabora,huu ni uzwazwa na unapaswa kupingwana kila Mwanademokrasia na Mtanzania yeyote asiyependezwa na viongozi aina ya Nkamia wanaofikiria kujiongezea muda wa kukaa madarakani.

Yangu ni haya kwa leo.,Mods naomba uzi huu usiunganishe na uzi mwingine wowote ili tuweze kupata michango ya wadau wengine ambao wamejiandaa kupinga hili linalotaka kuanzishwa na Juma Nkamia
 
Back
Top Bottom