elimukwanza
Senior Member
- Dec 27, 2010
- 168
- 23
Nawasihi chadema waunde kambi yenye nguvu kushirikiana na vyama vingine vya upinzani bungeni.wasahau yote yaliyopita wawe wakomavu wa kisiasa.kamawameliweza hili la kuamsha umma katika mijadala ya kitaifa kitu ambacho kilikuwa akiwezekani naomba na ile walivunje kwani ni mtaji wa ccm.
kunaweza kuwa na wasiwasi na cuf lakini ndani ya muungano watajulikana kama kuna agenda za siri,sina shida na akina kafulila kwani ni hasira tu na kutofautiana na Mbowe lakini lengo ni moja.naomba wana jf tuwashi chadema walikubali bora tutoe mapendekezo namna gani ya muundo utakavyo kuwa kuliko kuendelea na kambi mbili za upinzani.
kunaweza kuwa na wasiwasi na cuf lakini ndani ya muungano watajulikana kama kuna agenda za siri,sina shida na akina kafulila kwani ni hasira tu na kutofautiana na Mbowe lakini lengo ni moja.naomba wana jf tuwashi chadema walikubali bora tutoe mapendekezo namna gani ya muundo utakavyo kuwa kuliko kuendelea na kambi mbili za upinzani.