Samahanini wakuu, ndio ninatoka kupata mlo wa mchana na naomba kuuliza kuhusu hili jambo nililokutana nalo japo ni la kawaida,
Nimefika kwa muuza chips nikaagiza chips mayai (bila kuspecify mangapi). muuzaji bila kuuliza akaniwekea mayai mawili,order zote zilizofuatia ilikuwa hivihivi yaani ukiagiza chips mayai jamaa anaweka mawili. Saaasa swali langu ni hili., JE ni lazima chipsmayai kuliwa/kuchanganywa na mayai MAWILI ili menyu ikamilike? kswali la pili, ni kwa nini kila mtoto anayejifunza kuongea maji anayaita MMA! akhsante na weekend njema
Nimefika kwa muuza chips nikaagiza chips mayai (bila kuspecify mangapi). muuzaji bila kuuliza akaniwekea mayai mawili,order zote zilizofuatia ilikuwa hivihivi yaani ukiagiza chips mayai jamaa anaweka mawili. Saaasa swali langu ni hili., JE ni lazima chipsmayai kuliwa/kuchanganywa na mayai MAWILI ili menyu ikamilike? kswali la pili, ni kwa nini kila mtoto anayejifunza kuongea maji anayaita MMA! akhsante na weekend njema